Mke anahitaji akili na urijali tu mengine huja yenyewe!
Malaya anahitaji pesa kuliko Mme! Wengi wetu Tunaosumbuliwa na wake zetu kwa sababu ya umasikini ni kwasababu tulikosea tukaoa Malaya badala ya Mke!
Tajiri namba moja duniani pamoja na kuishi kwenye ndoa kwa miaka 25 lakini ameamua kubwaga manyanga huku wewe maskini na komwe lako usoni ukifaidi ndoa na ufukara wako!
Tazama mapenzi yalivyo hayana adabu. Yamepelekea wapendwa hawa kuachana pamoja na utajiri wote walio nao! Nimeamini kweli Pesa si kitu kwenye mapenzi ya kweli!
Malaya anahitaji pesa kuliko Mme! Wengi wetu Tunaosumbuliwa na wake zetu kwa sababu ya umasikini ni kwasababu tulikosea tukaoa Malaya badala ya Mke!
Tajiri namba moja duniani pamoja na kuishi kwenye ndoa kwa miaka 25 lakini ameamua kubwaga manyanga huku wewe maskini na komwe lako usoni ukifaidi ndoa na ufukara wako!
Tazama mapenzi yalivyo hayana adabu. Yamepelekea wapendwa hawa kuachana pamoja na utajiri wote walio nao! Nimeamini kweli Pesa si kitu kwenye mapenzi ya kweli!