JUMA BOAZ MWAIPAJA
New Member
- Dec 2, 2017
- 4
- 2
*NIME'STUKA UVCCM 2017*
Msanii na Muigizaji mkubwa wa Bongo Movie Maarufu kama *TAJIRI MFUPI AMESHTUKA, NA SASA AMUUNGA MKONO JUMA BOAZ MWAIPAJA MWENYEKITI UVCCM TAIFA 2017-2022*
Msanii Tajiri Mfupi amewaomba Wajumbe Wote wa Mkutano mkuu UVCCM Taifa kuungana na kumpigia kura *Juma Boaz Mwaipaja* ili kuleta mabadiliko ya kweli kwa kuifanya UVCCM kuwa jeuri ya Chama na Fahari ya vijana.
*UVCCM inapaswa kuwa jeshi kubwa lenye sauti ya ushawishi kwa vijana wote wa Tanzania.*
"Kwa UVCCM ya namna hii mimi Tajiri Mfupi naona *JUMA BOAZ MWAIPAJA* anatufaa sana. Chonde chonde naomba kura zote kwake."
*#VijanaNguvuMoja*
Msanii na Muigizaji mkubwa wa Bongo Movie Maarufu kama *TAJIRI MFUPI AMESHTUKA, NA SASA AMUUNGA MKONO JUMA BOAZ MWAIPAJA MWENYEKITI UVCCM TAIFA 2017-2022*
Msanii Tajiri Mfupi amewaomba Wajumbe Wote wa Mkutano mkuu UVCCM Taifa kuungana na kumpigia kura *Juma Boaz Mwaipaja* ili kuleta mabadiliko ya kweli kwa kuifanya UVCCM kuwa jeuri ya Chama na Fahari ya vijana.
*UVCCM inapaswa kuwa jeshi kubwa lenye sauti ya ushawishi kwa vijana wote wa Tanzania.*
"Kwa UVCCM ya namna hii mimi Tajiri Mfupi naona *JUMA BOAZ MWAIPAJA* anatufaa sana. Chonde chonde naomba kura zote kwake."
*#VijanaNguvuMoja*