Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mimi nadhani hili ni wazo zuri na kwa vile ni wazo zuri kutaja majina nadhani tuanze kutaja majina yetu sisi wenyewe kabla hatujayataja ya wale wengine. Kwa sababu JF ni "where we dare talk openly"!