Taja Wabunge 10 bora katika Bunge la Bajeti 2022, waliobeba hoja nzito za Wananchi

kifimbo5

Member
Jun 27, 2022
10
6
Bunge la Bajeti liko ukingoni kumalizika ni wabunge gani tunawapa nafasi kumi bora kwa kuwakilisha vema na kubeba hoja zenye maslahi mapana kwa taifa letu
 
Huyu
20220524_202220.jpg
 
1. Kishimba
2. Mpina
3. Mgungus
4. Ole Sendeka
Waliobaki hamna kitu mkuu
 
Bunge la Bajeti liko ukingoni kumalizika ni wabunge gani tunawapa nafasi kumi bora kwa kuwakilisha vema na kubeba hoja zenye maslahi mapana kwa taifa letu
Babu Tale, Lusinde,Mnyeti na Mtavazasjui sijui mnini
 
Kwangu mimi Luhaga Mpina ingawa ndani ya matamshi yake ana uchungu/"kabifu" ila kuna mambo ya msingi ameongea.
 
Back
Top Bottom