Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli ulikua unafanya hayo nina hakika elimu yako kama ilienda sana basi ni form four na ukazungushaKunya madarasani na kuandika ukutani baada ya shule kwisha for the day.
mi walifutisha choo kpnd nakarbia kumaliza la 7Ahahahaha umenikumbusha mkuu nilikuwa nimeisahau hiyo. Walinitafuta mpaka namaliza shule hawajawahi kunidaka ahahahah
Kama kweli ulikua unafanya hayo nina hakika elimu yako kama ilienda sana basi ni form four na ukazungusha
Yap don't judge a Book by looking at its COVER Story. Especially pastKikwete alikuwa haendi shule utotoni mwake, baadaye akaja kuwa rais wetu. Mkapa alikuwa anachimba panya mpaka akawa anatega shule kwa ajili ya kutafuta kitoweo naye akaja kuwa rais wetu. Watu wanabadilika, utoto ni utoto, unataka kuniambia kuwa wewe bado changu mpaka leo hii? You have no idea mimi ni nani. Pole though.
Ahahahaha mzee baba umetishaaaa hiyo sijawahi kuifanya mmmmh
Umenikumbusha kuna majamaa ya darasa LA tano sita na saba walikuwa wanapenda kuchonganisha . Yaani wanakuja darasani kwenu wanamtafuta mtoto mwenye afya afya ivi au mtukutu wanakuuliza Flani wa darasa la sita unamjua !? Je Unamgwaya!? /anakubonda!? Unampiga!? Ukijibu unampiga, wanaenda kumuuliza the same words , HAPOOOO NDO WASHACHONGANISHA , SAA NANE MUDA WA KUTOKA WANAMLETA WANAMWAMBIA HAIWEZEKANI TWENDENI MKAZIPIGE . MNAFIKA UWANJANI ZINAANZA KUPIGWA BILA SABABU WALA KISA WALA CHUKI. ATAKAETOKA DAMU AMESHINDWA NA KESHO YAKE ASUBUHI NI GUMZO MPAKA KWA wakina Dada ndo story sasa USIOMBE UWE NDO ULOPIGWA ALAFU KWA BAHATI MBAYA UWE UMEVIMBA USONI HATA PADOGO TUU, Basi utaomba UHAME SHULE AHAHAHAHAHHANilikuwa nafanya vile kwa sababu Mwalimu mkuu alikuwa anapiga sana tena bila hata huruma na pasipo kuwa na kosa, nafikiri alikuwa na stress na mumewe nyumbani. Yule Mwalimu alikuwa akija shuleni tu eti anakuja na fimbo zake toka nyumbani na alikuwa na hasira tele maana alikuwa hana hata tabasamu. Muda wote alikuwa yeye na fimbo mpaka tukambatiza Mwalimu kifimbo. Akienda msalani, anakwenda na fimbo na kama sikosei nafikiri alikuwa analala nazo kumchapa mumewe na zinazobaki anazileta shuleni kutumalizia sie tusio na kosa...alikuwa too much na ndiyo maana watoto watukutu walikuwa wanamuwinda na manati na matofali ili wamshikishe adabu.
Umenikumbusha kuna majamaa ya darasa LA tano sita na saba walikuwa wanapenda kuchonganisha . Yaani wanakuja darasani kwenu wanamtafuta mtoto mwenye afya afya ivi au mtukutu wanakuuliza Flani wa darasa la sita unamjua !? Je Unamgwaya!? /anakubonda!? Unampiga!? Ukijibu unampiga, wanaenda kumuuliza the same words , HAPOOOO NDO WASHACHONGANISHA , SAA NANE MUDA WA KUTOKA WANAMLETA WANAMWAMBIA HAIWEZEKANI TWENDENI MKAZIPIGE . MNAFIKA UWANJANI ZINAANZA KUPIGWA BILA SABABU WALA KISA WALA CHUKI. ATAKAETOKA DAMU AMESHINDWA NA KESHO YAKE ASUBUHI NI GUMZO MPAKA KWA wakina Dada ndo story sasa USIOMBE UWE NDO ULOPIGWA ALAFU KWA BAHATI MBAYA UWE UMEVIMBA USONI HATA PADOGO TUU, Basi utaomba UHAME SHULE AHAHAHAHAHHA