Taja starehe 3 ambazo ndo kila kitu maishani mwako

yuzazifu

JF-Expert Member
Oct 6, 2018
5,109
9,407
natumai mmeamka salama wakuu.

kila mmoja wetu ataje starehe zake 3 ambazo ndo kila kitu kwake na maelezo yake.

zakwangu hizi hapa:

1. kugegeda
2.intanet
3.mpira

kugegeda hurefresh my mind na kunifanya nienjoy zaid maisha, intenet hunitoa stress nakunifanya nicheke peke angu kama jinga na mpira hunipa furaha ya ajabu ilochanganyikana na wendawazim kidogo.

je upande wako???

nawatakia corona njema wakuu.
 
natumai mmeamka salama wakuu.

kila mmoja wetu ataje starehe zake 3 ambazo ndo kila kitu kwake na maelezo yake.

zakwangu hizi hapa:

1. kugegeda
2.intanet
3.mpira

kugegeda hurefresh my mind na kunifanya nienjoy zaid maisha, intenet hunitoa stress nakunifanya nicheke peke angu kama jinga na mpira hunipa furaha ya ajabu ilochanganyikana na wendawazim kidogo.

je upande wako???

nawatakia corona njema wakuu.
1-beer/pombe

2-good music

3-movies

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Jf
2. Kupiga(k)
3. Mpira
4.na hiyo
IMG-20200322-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom