Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,907
Asee umegusa mulemule..Hii mimi nimeirudia, japo imeishia kati lakini nimeirudia mara kadhaa
Series nyingine iliyoishia kati lakini kali sana ni 24 Legacy
Series kali mpk mtu hutamani iishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee umegusa mulemule..Hii mimi nimeirudia, japo imeishia kati lakini nimeirudia mara kadhaa
Series nyingine iliyoishia kati lakini kali sana ni 24 Legacy
Nashawishika kuitafuta sasa.Homeland mkuu
Jessica ndo aliniuma sana yani, Rachel nilivyoona tu kuwa kachumbiwa na mjukuu wa malkia Elizabeth nikajua tu huyu hataigiza tena maana status ni *royal family* Ila nina imani bwana Mike atarudi kwenye season za mbele.Mimi nina series mbili kwenye computer sijawahi kufikiri kuzifuta. Game of Thrones na Suits. I wished Mike and Rachel and Jessica never left the suit crew. They made it to be like a family which you wish you are a member.
Mkuu hapo kwenye Manging Sino Kaman hahahaha nilikuwa sikamatiki, RUSELA the fish vendor hahahahaDah wewe ni mzee wa TVT. Enzi hizo..sikuianza wala sikuimaliza ila nimeitafuta mpaka leo sijaipata. Nawashangaa watoto siku hizi wanaangalia series za kikorea zilizotafsiriwa wanajazana sebuleni wakati hazina hata mvuto. Kulikua na Timeless, The Long wait, It might be you, Maging sino ka man yani kusoma hapo hakuna. Nowdays Philiphines movies na series zimenitoka nimebaki na wamarekani. I wish watoto wangezaliwa kipindi hicho sio leo sijui wanaangalia Sultan mtu anagandishwa robo saa dah wamekosa vingi.
Ilikuwa kali sana, nilisikia kuwa eti ilifungiwa.Hii mimi nimeirudia, japo imeishia kati lakini nimeirudia mara kadhaa
Series nyingine iliyoishia kati lakini kali sana ni 24 Legacy
Fanya hivyo mkuu.Nashawishika kuitafuta sasa.
Season 4 ishatoka? Niliishia season 3 episode ya 8into the badland
Tayari nimeianza leo, hii ni series ya kuangalia mpaka episode 2 tayari nishaona utamu wake#Homeland# kwawapenda intelligence series hii usiiache.Fanya hivyo mkuu.
ishatoka nduguSeason 4 ishatoka? Niliishia season 3 episode ya 8
Kivipi ndugu?Sleepy Hollow niliisslhindwa
SikuipendaKivipi ndugu?
Siku hizi watu wandownload na kisha wanaangalia kwa muda waoNa mimi nipo... Nazichukia series kwa vile unakuwa mtumwa wa series .... Fikiria ukiwa mbali na TV huku yenyewe inakaribia kuanza....
Wanautaka lakini Designated imenifunza kuwa uraisi kazi ngumu, yani ni mzigo mzito, mpaka nashangaa sana why watu bado wanaupigania sana mpaka kutoana roho.
Kuna mzee ana kipala ana philosophy za ajabu sanaHahahaha kina kate,sawyer, Benjamin,john n.k aisee lile dude linahitaji umakini sana kulitizama