Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #41
Mimi nililia zaidi maana home tulikuwa tumeishaingia contract nikifika zaidi ya SAA 12 jioni lazima nichezee fimbo za kutosha. Sasa fimbo za home kwa mother zilikuwa zinahusisha mateke, kufinywa, vibao, ngumi, ndara, kuita nyota, kubeba mawe, yaani ile package ukiifikiri tu machozi yanazidi.Jamaa alituarika kwenda kula miwa ys Bibi yake. Kumbe sio lao ametuzuga. Jamaa alipokuja anauliza
Jamaa " mnafanya mini huko nyie watoto".
Sisi " ni sisi Bibi".
Jamaa akajua wezi, akapiga ambush na Vijana wake tukatekwa wote na kufungiwa kwenye kachumba Kadogo tulikuwa Kama kumi.
Tulitanguliziwa stiki za kufa mtu.
Kesho take tunatakiwa kwenda Shule alafu home hawajui tuko wapi na hakuna hata reporter aliyenusurika atoe taarifa na jamaa anasema tutalala humohumo hadi kesho.
Tulilia kama Mbwa, tuliongea Maneno yote mle ndani,
Kalikuwa kachumba Kadogo alafu Dirisha dogo sana liko juu.
Mimi nililia zaidi maana home tulikuwa tumeishaingia contract nikifika zaidi ya SAA 12 jioni lazima nichezee fimbo za kutosha. Sasa fimbo za home kwa mother zilikuwa zinahusisha mateke, kufinywa, vibao, ngumi, ndara, kuita nyota, kubeba mawe, yaani ile package ukiifikiri tu machozi yanazidi.
Tuliachiwa SAA mbili kamili usiku tukiwa tumejaa jasho na machozi mwili mzima.
maza ako alikuwa mjeda?