mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Katika Jeshi la Police kuna idadi ya police wenye maadili ya kazi na wana heshima zao kwenye nyazifa zao, lakini humo humo kuna wengi wao ni wabaya zaidi na huwa wanausika sana kwenye dili mbaya hata kukwepesha watuhumiwa, police hawa wanamtandao wao, wengine wanatumia pikipiki , wengine magari yaliyokamatwa kwenye kesi mbali mbali.
Hali hii ipo sana Police Central na Oyseterbay, polce hawa ubambika kesi, hufanya mateso mbali mbali , ili mradi tu baada ya mateso a kubambikwa kesi wao hutoa mwanya wa rushwa kubwa, Ma-CID hawa ukuwekandani mara kwa mara wakisubiri ndugu wenye uchungu kuja kukuzamini, hapo ndio utaona maajabu, police hawa ubagaini rushwa wazi wazi bila kifichowala haibu, utasikia kesi ya huyu ni mbaya sana, kapatkana na mafuta ya Transforma, au Heroin, Bastola, ndugu watababaika maana wewe huko ndani nao wanataharuki ya kukuona, kumbe ni kesi ndogo za kupeana hela za kumalizikia hata kwa katibu kata.
Rushwa yao sasa inategemea mnadaiyana sh. ngapi, kama millioni itakutoka laki, na yule mdai laki, kuna poice pale central anaondoka na laki tatu kwa siku mpaka nne. Yeye dili zake ni kufungua kesi nyingi sana zinazoishia kwenye kabati lake, hukikomaa kuendelea mbele hukupa kesi ya bastola na kukuhamisha usiku mpaka kule uwanja wa ndege kwa mateso zaidi, police huyu huwa anamasifa sana, watu wengi wameshalalamika lakini wapi, hata wakuu wake hawaonyeshi kujali malalamiko. Police huyu Afande Christopher Mkulya , ni mwingi wa dhuluma, mpenda masifa,kama vile kuchukua wake za watu, hata wale wa marafiki zake, huonyesha silaha yake hawapo baa, mzikiau club mbali mbali, kwenye dawati lake kuna mali nyingi za dhuluma ambazo hazina maelezo au maandishi, ukiogopa kufuatilia kama ni simu au saa huwaonga mabinti.
Orodha ya Kwanza.
1. Christoper kabila Mkulya .........Cental Police
Hali hii ipo sana Police Central na Oyseterbay, polce hawa ubambika kesi, hufanya mateso mbali mbali , ili mradi tu baada ya mateso a kubambikwa kesi wao hutoa mwanya wa rushwa kubwa, Ma-CID hawa ukuwekandani mara kwa mara wakisubiri ndugu wenye uchungu kuja kukuzamini, hapo ndio utaona maajabu, police hawa ubagaini rushwa wazi wazi bila kifichowala haibu, utasikia kesi ya huyu ni mbaya sana, kapatkana na mafuta ya Transforma, au Heroin, Bastola, ndugu watababaika maana wewe huko ndani nao wanataharuki ya kukuona, kumbe ni kesi ndogo za kupeana hela za kumalizikia hata kwa katibu kata.
Rushwa yao sasa inategemea mnadaiyana sh. ngapi, kama millioni itakutoka laki, na yule mdai laki, kuna poice pale central anaondoka na laki tatu kwa siku mpaka nne. Yeye dili zake ni kufungua kesi nyingi sana zinazoishia kwenye kabati lake, hukikomaa kuendelea mbele hukupa kesi ya bastola na kukuhamisha usiku mpaka kule uwanja wa ndege kwa mateso zaidi, police huyu huwa anamasifa sana, watu wengi wameshalalamika lakini wapi, hata wakuu wake hawaonyeshi kujali malalamiko. Police huyu Afande Christopher Mkulya , ni mwingi wa dhuluma, mpenda masifa,kama vile kuchukua wake za watu, hata wale wa marafiki zake, huonyesha silaha yake hawapo baa, mzikiau club mbali mbali, kwenye dawati lake kuna mali nyingi za dhuluma ambazo hazina maelezo au maandishi, ukiogopa kufuatilia kama ni simu au saa huwaonga mabinti.
Orodha ya Kwanza.
1. Christoper kabila Mkulya .........Cental Police