natumai hamjambo wajumbe.
wakuu kila mmoja wetu ataje mitaa 5 ambayo humpotezea mda mwingi kuitembelea awapo hapa mjini jamii forums.
ifuatayo ndo list ya mitaa 5 nayoitembelea zaidi kwa upande wangu:
1.MMU
hapa naingia ajili ya kushare & kujifunza mambo mbali mbali yahusuyo ndoa/mahusiano.
2.jamii intelligence
hapa naingia ajili kuchukua nondo nzito za kuulisha ubongo ili usikae kizezeta.
3.jukwaa la siasa
hapa naingiaga ajili yakujua mbivu na mbichi za wanasiasa wetu uchwara.
4.kenyan news &politics
hapa huingia ajili ya kuwatia mchecheto majirani zetu kenya wapenda sifa wanaojisifia elimu & uchumi wa makaratasi akati bado wanategemea chakula cha msaada.
5.sports
hapa naingia kuangalia habari za michezo coz ndo ulevi wangu mkubwa.
nb: mitaa mingine natembea bt hii ndo mitaa nayotembelea zaidi niwapo hapa mjini jf, karibu nawe utupie list yako.
wakuu kila mmoja wetu ataje mitaa 5 ambayo humpotezea mda mwingi kuitembelea awapo hapa mjini jamii forums.
ifuatayo ndo list ya mitaa 5 nayoitembelea zaidi kwa upande wangu:
1.MMU
hapa naingia ajili ya kushare & kujifunza mambo mbali mbali yahusuyo ndoa/mahusiano.
2.jamii intelligence
hapa naingia ajili kuchukua nondo nzito za kuulisha ubongo ili usikae kizezeta.
3.jukwaa la siasa
hapa naingiaga ajili yakujua mbivu na mbichi za wanasiasa wetu uchwara.
4.kenyan news &politics
hapa huingia ajili ya kuwatia mchecheto majirani zetu kenya wapenda sifa wanaojisifia elimu & uchumi wa makaratasi akati bado wanategemea chakula cha msaada.
5.sports
hapa naingia kuangalia habari za michezo coz ndo ulevi wangu mkubwa.
nb: mitaa mingine natembea bt hii ndo mitaa nayotembelea zaidi niwapo hapa mjini jf, karibu nawe utupie list yako.