DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Mkuu mbona utatukabia juu Kama Partey?Na Arsenal tunaiweka kwenye timu kubwa EPL?
Mkuu mbona utatukabia juu Kama Partey?Na Arsenal tunaiweka kwenye timu kubwa EPL?
Mkuu mbona utatukabia juu Kama Partey?
Una point zangu 3 nahitaji big5 hapoHahaha, mna points zangu 3, nataka kuvuka 100 za City.
Yah ndio huyo mzee vip wewe unamuonaje?Saint-Maximan
Nakuunga mkono kwa asilimia 💯Kikosi changu ni hiki
D.Henderson
Aaron Soyuncu Ake. Chilwel
Ndidi. Neves
Maximin T.Cantwely J.Grealish
D.Ings
Sub.
Adama
Madison
Pukki
Poppe
Hayden
Rodriguez
Jimenez
Amezeeka huyoJamie Vardy
Huyu jamaa akiwa pale mbele ya Bruno na Pogba, aisee itakua moto sana. Acha hawa Martial na Raahford mambo ya kitoto sana
RicharlsonMsimu huu kuna wachezaji wamekiwasha hasa, viwango vyao vimetakata mno japo hawachezi timu kubwa kama Liverpool, Man City, Man Utd, Arsenal, Spurs na Chelsea.
Leo tuwataje wachezaji tunaowakubali ambao hawachezi hivyo vilabu hapo juu.
Mimi naanza na Ruben Neves wa Wolves jamaa ni bonge la mido, ana uwiano mzuri katika ukabaji na kushambulia.
Karibu tuendelee.
Kumbuka yeye ndo top scorer kwa sasa hao vijana ambao hawajazeeka vp mbn hawajampita?Amezeeka huyo
Kingine ameweka rekod ya kuzifunga top six zote kwa msimu mmja... Jamie vardy ni Kisanga kingnAmezeeka huyo
Anapiga long balls hatari sana huyu jamaa .Kuna huyu nahodha kitasa wa mbwa mwitu pale (Wolves) anaitwa Conor Coady..
Ni beki mmoja mtulivu sana na anajiamini, ananifurahisha sana uchezaji wake.
Ananikumbusha enzi nikiwa mikobani, sina mapepe nafinya hata ndani ya 6!
Ukipata muda tafuta game yoyote ya Wolves halafu ukae umuangalie huyu munu.
Utulivu=98%View attachment 1504000
Mkuu bila shaka unachezaga fantasy 😀Kikosi changu ni hiki
D.Henderson
Aaron Soyuncu Ake. Chilwel
Ndidi. Neves
Maximin T.Cantwely J.Grealish
D.Ings
Sub.
Adama
Madison
Pukki
Poppe
Hayden
Rodriguez
Jimenez
Kipara kuna siku akiamka vizuri huwa anakuwa hatari hasa na ile mipira yake ya mashuti huwa ni hatari
Sana tuMkuu bila shaka unachezaga fantasy