Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,096
Msimu huu kuna wachezaji wamekiwasha hasa, viwango vyao vimetakata mno japo hawachezi timu kubwa kama Liverpool, Man City, Man Utd, Arsenal, Spurs na Chelsea.
Leo tuwataje wachezaji tunaowakubali ambao hawachezi hivyo vilabu hapo juu.
Mimi naanza na Ruben Neves wa Wolves jamaa ni bonge la mido, ana uwiano mzuri katika ukabaji na kushambulia.
Karibu tuendelee.
Leo tuwataje wachezaji tunaowakubali ambao hawachezi hivyo vilabu hapo juu.
Mimi naanza na Ruben Neves wa Wolves jamaa ni bonge la mido, ana uwiano mzuri katika ukabaji na kushambulia.
Karibu tuendelee.