daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Habarini wadau wenzangu
kama uzi unavyojielezea naomba kila mtu ataje mambo matatu anayopenda besti (rafiki yake kipenzi amfanyie)
mimi ninayopenda anifanyie ni:-
1. asiwe muongo sana, kila kitu anachosikia kwangu anataka akisambaze
2. asipende kuniombaomba vihela bila sababu
3. asiwe na mademu wengi, sababu ipo siku hakosi ataniaibisha bure
Nawe taja yako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kama uzi unavyojielezea naomba kila mtu ataje mambo matatu anayopenda besti (rafiki yake kipenzi amfanyie)
mimi ninayopenda anifanyie ni:-
1. asiwe muongo sana, kila kitu anachosikia kwangu anataka akisambaze
2. asipende kuniombaomba vihela bila sababu
3. asiwe na mademu wengi, sababu ipo siku hakosi ataniaibisha bure
Nawe taja yako!!
Sent using Jamii Forums mobile app