Taja majina ya kuchekesha au kufurahisha humu JF

Kwa ufupi kuna baadhi ya majina nikisoma huwa nacheka sana nikiwa natafakari huyo mtu mwenye hilo jina alikua anawaza nini wakati wa kujisajili humu JF. Majina ya kufurahisha ni kama yafuatayo, kwa uchache:

1. Mchecheto;
2. Miss Natafuta;
3. Kipara kipya;
4. Mkwepa kodi
5......................

Basi burdani.
5. Chagga Barbie (Msukule)
6. Mange Kimambi
 
Ewaaa nitafurahi sana, maana kuna mmasai wangu humu hajui kiswahili sasa huwa nashindwa kuchat nae vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom