Unanikumbusha kipindi cha chuo. Nillibaki field chuoni, nikakutana alikuwa yupo field halafu ana sapu akawa movie hataki kabisaa basi akanisusia external yake....alikuwa haamini nilivyokuwa nazikata zile movie......Daaa Umenipa mzuka ngoja nitafute "KIBUYU" - TRANSCEND 500GB yangu nitizame Predator,Commando(Jeni),Full Metal Jacket na Set it off.
Kuna hiyo na ile ya vanila sky Tim cruise. Zinahitaji utulivu wa akili kuzielewa hazipo straight straightforward. Na kuna hii ya juzi juzi inaitwa The strange one.Naikubali Sana hiyo movie
Nimeicheki hii leo.INCEPTION
I second you mkuuNaikubali Sana hiyo movie
Hiyo the Strange one sijaicheki,ngoja niitafute.Kuna hiyo na ile ya vanila sky Tim cruise. Zinahitaji utulivu wa akili kuzielewa hazipo straight straightforward. Na kuna hii ya juzi juzi inaitwa The strange one.
one of the best horrible movie in the world.Nimeicheki leo yaani ni mbaaaaaaaaaaaaayaHiyo the Strange one sijaicheki,ngoja niitafute.
Siielewagi....INCEPTION
HUMU NDIYO NILIGUNDUA JANET JAKSON ALIKUWA DEMU MKALIPoetic justice hii movie nimeshaiangalia kama mara milioni napenda miyeyusho ya tupac mle ndani