Taja jambo lolote lililotamba enzi hizo na unahisi vijana wa leo hawajashuhudia zaid ya kusikia tu!

Mchezo wa kujificha na kibaba/kimama...Siku hizi nyie watoto mnafanya ukweliukweli wakati sisi enzi zetu tulikuwa tunalala kifuani sote tukiwa tumevaa nguo!!!
 
Maeneo ya vijijini ukiona gari jekundu ni wanyonya damu!
Ilinitokea live nilipokwenda kumsalimia babu, hiyo siku tulikwenda kusanya kuni habla hatujaingia porini gari lenye rangi nyekundu likawa linakuja kwa mbele yetu, wale ndugu zangu walikimbia wote porini huku wakiambia kwa kilugha "bee mkwamisi kimbile avanyonya damu ivo vakusa na mtuka si wiona ilangi dung'u iyoo!"
 
Maeneo ya vijijini ukiona gari jekundu ni wanyonya damu!
Ilinitokea live nilipokwenda kumsalimia babu, hiyo siku tulikwenda kusanya kuni habla hatujaingia porini gari lenye rangi nyekundu likawa linakuja kwa mbele yetu, wale ndugu zangu walikimbia wote porini huku wakiambia kwa kilugha "bee mkwamisi kimbile avanyonya damu ivo vakusa na mtuka si wiona ilangi dung'u iyoo!"

Ha ha ha haaah Babaubaya umenikumbusha kijiji kimoja huku kwetu alienda mchungaji kuhubiri injili, gari yake ilikuwa imechorwa msalaba kwa rangi nyekundu, alijikuta yuko peke yake wenyeji wamekimbilia mashambani.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha haaah Babaubaya umenikumbusha kijiji kimoja huku kwetu alienda mchungaji kuhubiri injili, gari yake ilikuwa imechorwa msalaba kwa rangi nyekundu, alijikuta yuko peke yake wenyeji wamekimbilia mashambani.

Ha haaaa haaaaa.... zamani bana acha tu!
 
Last edited by a moderator:
fashion ya 'Pecos', na viatu fashion ya 'Rise on'.
Angalia picha hii ya kundi la muziki la 'ABBA' enzi zao miaka ya 1970s'.
Check jamaa wa kushoto kabisa hapo !!
 

Attachments

  • abba.jpeg
    abba.jpeg
    67.6 KB · Views: 50
Mchezo wa kujificha na kibaba/kimama...Siku hizi nyie watoto mnafanya ukweliukweli wakati sisi enzi zetu tulikuwa tunalala kifuani sote tukiwa tumevaa nguo!!!

si unajua siku hizi utandawazi umezidi
 
Maeneo ya vijijini ukiona gari jekundu ni wanyonya damu!
Ilinitokea live nilipokwenda kumsalimia babu, hiyo siku tulikwenda kusanya kuni habla hatujaingia porini gari lenye rangi nyekundu likawa linakuja kwa mbele yetu, wale ndugu zangu walikimbia wote porini huku wakiambia kwa kilugha "bee mkwamisi kimbile avanyonya damu ivo vakusa na mtuka si wiona ilangi dung'u iyoo!"

umetisha mkuu.. Ni kweli kipindi hiyo watu walinyonywa sana damu siku hizi magonjwa kibao sijui watachukua damu ya nani
 
Back
Top Bottom