Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,040
- 1,895
Kuna ile sijui kinanda au sexaphone kwenye song la snop dogg... Why did you leave me... Aisee
Hii nipo na bro alikua anafunikia spika kwenye ndoo ya lita 20 .. it was superbFlexx-amejibeba
Vp bass ya kwenye siamini
Ya matonya
Sasa balaa ni ile gita ya Dali Kimoko..Mkanda wa kiuno by Pepe kale.Pale kuna kabeat kanapigwa kila akimaliza ka verse.
Jumlisha hizi ngoma za Jay ZTID-Watasema sana; Moja ya beat nyoko sana kwa woofer
Jaguar ft AY - Nmetoka mbali
Longombaz- Dondosa
Nyanshinski na madem flani -Sina noma nae
Hatari mzee babaJumlisha hizi ngoma za Jay Z
Empire state of mind
Died in your arms
Like Glue - Sean Paul
Mkuu unapenda Music sana aisew tuko pamoja..Hatari mzee baba
Katika muziki kuna miguso ya ajabu sana, yaani unaweza kusikiliza instrument(s) Fulani ukatekwa kabisa na kufanya uzidi kuupenda muziki husika. Hebu tutumie huu uzi kuzitaja hizo sehemu au instrument(s) katika nyimbo ambazo zinakonga nyoyo zetu.
Kwa kuanza mimi kuna hizi hapa
Zile strings zinazoambatana na kick pale mwazoni mwa wimbo wa ‘knock you down’ wa keri hilson ft. kanye west & Ne-Yo. Na pia huwa zinabamba sana pale kanye west anapoanza kuchana kabla beat halijachanganya. Huwa naburudika sana kwa kweli.
Kile kimluzi cha kwenyechou ya wiggle ya Jason derulo ft. snoop dog, yani nikisisikia najikuta nachezesha kichwa.
Ile sijui ni piano ama kitu gani inayosindikiza chorus ya kwenye wimbo wa swallah (samahani kama imekosea spelling) ya Jason derulo ft. nick minaj na Yule jamaa mwingine tola y nani sijui, jina lake linanishinda kuandika.
Trumpet iliyopo kweye chourus na baadhi ya sehemu kwenye verse ya wimbo wa kill yourself ya nikki mbishi ft. Godzilla & cliff mitindo. Producer sijui alitumia kilevi gani kutengeneza hiyo kitu, so amazing.
Ile violin ya kwenye wimbo wa kababaye wa chin bees halafu huwa kuna ka string flani kanapita kwa chini, dah ni noma sana.
Ile piano ya mwanzoni kwenye wimbo wa see you again ya wiz khalifa ft. Charlie puth, huna inagusa moyo sana.
Ile string iliyopo mwanzoni mwa mimbo wa sofia by ben pol.
Kuna ka instrument flani kana mlio kama wa kengele hivi kwenye chorus ya kadogo ya ali kiba.
Zipo nyingi, tuendelee kuzitaja.
ile beat katengeneza Q The Don kipindi yuko pale Bongo Record. Bonge moja la bt.Kuna ngoma ya Marehem Ngwea kamshirikisha mr blue na diamonds ilipikwa na majan aise ile beat hatar
Sent using Jamii Forums mobile app