Taja eneo,mtandao na signal za 3G zinazopatikana!

BAOSITA

JF-Expert Member
Nov 2, 2011
368
188
Habari yenu wadau wa Tech,nimepata kawazo ka kutaja vitu tajwa hapo juu ili kusaidia na wale wanaotaka kujua upatikanaji wa 3G signals za internet za maeneo tofauti tofauti nchini.Hii nadhani itasaidia kidogo kwa wale watakaokuwa wanahitaji kutumia huduma ya internet pindi wahamapo kutoka sehem moja kwenda nyingine.Tupo wengi humu wadau,taja eneo,mtandao na signals uzipatazo,kama unaona hili ni wazo lisilo na faida kwako,tafadhali,pita tu.Belivdat
 
Mbezi Louis maeneo ya near barabara kuu,Airtel,1 bar 3G!
 
hawa ni wapuuzi sana kwa upande wa morogoro road ukishapita ubungo tu, kwa mitandao yote 3g ni ya kubahatisha tu hakuna lolote. Nadhani wanawathamini zaidi walio sehemu za mjini wakidhani kimara au mbezi au kibaha hawatumii internet
 
hawa ni wapuuzi sana kwa upande wa morogoro road ukishapita ubungo tu, kwa mitandao yote 3g ni ya kubahatisha tu hakuna lolote. Nadhani wanawathamini zaidi walio sehemu za mjini wakidhani kimara au mbezi au kibaha hawatumii internet
Wanakera sana yaani mkuu,yani wengine tunashindwa kuhamia maeneo ya mbali sababu ya ubovu wa mawasiliano!
 
Labda ingetajwa ni 3G ya mtandao gani mboni sehem nyingi tu nje ya mji inanasa kama Airtel na Voda wamejitahidi sana kucover maeneo mengi nchi nzima mpaka loliondo. Tigo tu ndo nashanga bdo wako Dar tena zaidi maeneo ya Mjini center but pia nimeona wamejitahidi kucover eneo kubwa pia la DAR. maana uku ni BUZA! na 3G mtandao yote nanasa tena full kabisa...hehe!
 
Labda ingetajwa ni 3G ya mtandao gani mboni sehem nyingi tu nje ya mji inanasa kama Airtel na Voda wamejitahidi sana kucover maeneo mengi nchi nzima mpaka loliondo. Tigo tu ndo nashanga bdo wako Dar tena zaidi maeneo ya Mjini center but pia nimeona wamejitahidi kucover eneo kubwa pia la DAR. maana uku ni BUZA! na 3G mtandao yote nanasa tena full kabisa...hehe!
Halafu nimegundua kitu,sehem nyingine za city center Vodacom unaweza kukamata bars 2 tu!!!!!!Nadhani labda maghorofa marefu yanachangia kublock signals!We wa Buza una raha sana kupata full 3G mitandao yote,sisi wa huku nje ya mji mpaka tuunge antenna zetu za kubni ndio tukamate zifike 3 bars,eg Tigo.
 
Wakuu na hii 3g tunayoongea hapa tukiacha ile display inayoonekana vipi kuhusu dowload bandwidth/s ikoje au inatakiwa kuwa atleast kiasi gani.

Isije ikawa ina display 3g kwenye kudowload kitu haifiki hata 100Kb/s. hiyo itakuwa siyo 3g

...........To meet the IMT-2000 standards, a system is required to provide peak data rates of at least 200 kbit/s (about 0.2 Mbit/s). However, many services advertised as 3G provide higher speed than the minimum technical requirements for a 3G source 3G - Wikipedia, the free encyclopedia
 
makumira(bar 2),usa- river(bar 3,),njiro(3 hadi 4) inapatikana
 
Wakuu na hii 3g tunayoongea hapa tukiacha ile display inayoonekana vipi kuhusu dowload bandwidth/s ikoje au inatakiwa kuwa atleast kiasi gani.

Isije ikawa ina display 3g kwenye kudowload kitu haifiki hata 100Kb/s. hiyo itakuwa siyo 3g
Mkuu kiukweli wakati mwingine ni 3g display tu, na hapa kifurushi gani unatumia kina matter sana,
Angalau nikiwa na airtel kifurushi cha mb 400 huku Tabata download speed inakwenda hadi 200kb/s,
Voda na Tigo kalaghabaho, wakati mwingine hata kupata downloading speed ya 50kb/s ni kasheshe
 
Unajua Tigo tatizo au watu huoni ni slow kwasababu package zao zinalimit bandwith lakini kama haiko limited hamna mtandao unaomfikia Airtel wanakaribia sana Tigo 24 hrs download speed huku napata 250KBps yani haishuk chini ya hapo but inapanda mpaka 400KBps Airtel nao wamekuja juu but sio muda wote unapata 200KBps. So mimi navona anayeongoza kwa Dar ni Tigo na kwa Tanzania nzima ni Airtel ambapo kafunikwa tu na Tigo Dar.
 
Unajua Tigo tatizo au watu huoni ni slow kwasababu package zao zinalimit bandwith lakini kama haiko limited hamna mtandao unaomfikia Airtel wanakaribia sana Tigo 24 hrs download speed huku napata 250KBps yani haishuk chini ya hapo but inapanda mpaka 400KBps Airtel nao wamekuja juu but sio muda wote unapata 200KBps. So mimi navona anayeongoza kwa Dar ni Tigo na kwa Tanzania nzima ni Airtel ambapo kafunikwa tu na Tigo Dar.
mkuu unatumia kifurushi gani cha Tigo?
 
3G ndio vitu gani? GSM nayo ni nin? Naviona ona hivyo vitu kwenye simu yangu ila sivielewi.
 
mkuu unatumia kifurushi gani cha Tigo?
mkuu ni package za MAX ambayo ni unlimited na speed ya juu kabisa, kuna max 7 iyo ni ya wiki moja - 40,000
kuna max 30 iyo ni ya mwezi - 150,000
and pia kuna max 60 iyo ni ya miezi miwili - 250,000
sasa katika package izo ndo utaona how fast Tigo really is.
 
Mbezi-->Kibamba - 3G ipo ya airtel&tigo, kibaha-3G ipo ya tigo, Mtwara mjini - ipo 3G ya vodacom
 
Kusema kweli,tigo kidogo sasa wameimprove signals zao maeneo ya nje ya mji,nakumbuka miezi 3 nyuma,it was terrible!Hupati hata bar 1 ukiwa Mbezi!
 
Back
Top Bottom