Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,579
- 50,666
Sitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.Rafiki mtaje huyu mm ,niendelee kula ugimbi kwa mangi hapa,nianze lindo
Sitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.Rafiki mtaje huyu mm ,niendelee kula ugimbi kwa mangi hapa,nianze lindo
Zipo, hadi double kick, rivela,kitoko, shots za k vant
Hakuna chenga rafiki yangu huo ndo ukweli🤪🤪🤪Hahahaha, nishapigwa chenga ya mwili, acha nikubali
Wewe yako ni spesho rafiki yangu.Hahahaha, Rafiki bana
We umesema ana avatar ya muigizaji ujue,
Mpka sasa hivi Rafik yangu umegundua nini??Hahahaha, umemsoma eeh , halafu huu Uzi usome vzr kisha fuatilia vzr zaidi, utagundua kitu
Ooh ahsante sana Rafiki kipenzi, ila hata hy avatar usemayo nayo ...mpk umeitaja Rafiki na zawadi kuwekaWewe yako ni spesho rafiki yangu.
Hakuna mtu mwingine humu ndani ninaemwita Rafik kipenzi..ni wewe tu..
Kwahiyo popote ukiona “rafiki yangu”jua ni wewe tu
Rafiki hata wewe huoni ?Mpka sasa hivi Rafik yangu umegundua nini??
Sawa Rafiki sijabishaHakuna chenga rafiki yangu huo ndo ukweli
Vifaa vyote vipo kamiliSitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.
Na hata sidhani kama anajua kuwa ninaizimia avatar yake loh.Ooh ahsante sana Rafiki kipenzi, ila hata hy avatar usemayo nayo ...mpk umeitaja Rafiki na zawadi kuweka
Naona maruwe ruwe rafiki yangu.wewe kunakitu utakuwa umeona hebu nitonye..Rafiki hata wewe huoni ?
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂😘😘Sawa Rafiki sijabisha
Safiiii...lindo lina anza saa ngapi babaVifaa vyote vipo kamili
Shukrani mkuu
Yaan zote hizi zinakusisimuaa Si unasisimka mno jamani
Wengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.
Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.
Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu
View attachment 1629935