Mujuni2
Senior Member
- Jun 11, 2008
- 142
- 3
Wana JF
Wandugu, mi ni mfuatiliaji wa maswala ya michezo hasa soka.Ila sasa naona mambo ya soka, yameingiwa na siasa hivi magazeti kuandika 'Taifa Stars yafa kiume" maana yake nini? Kwa msiosoma habari hii ni juzi tuu timu yetu ya Taifa imefungwa 2-1 na Cameroon, sasa inaandikwa kuwa tumefungwa kiume.Nyie mliobobea kwenye maswala ya soka hebu niambieni kufungwa kiume na kike nini tofauti yake? ni kwa idadi ya magoli au?au ni mlolongo wa viini macho vya aserikali ya awamu ya nne?
Mujuni2
Wandugu, mi ni mfuatiliaji wa maswala ya michezo hasa soka.Ila sasa naona mambo ya soka, yameingiwa na siasa hivi magazeti kuandika 'Taifa Stars yafa kiume" maana yake nini? Kwa msiosoma habari hii ni juzi tuu timu yetu ya Taifa imefungwa 2-1 na Cameroon, sasa inaandikwa kuwa tumefungwa kiume.Nyie mliobobea kwenye maswala ya soka hebu niambieni kufungwa kiume na kike nini tofauti yake? ni kwa idadi ya magoli au?au ni mlolongo wa viini macho vya aserikali ya awamu ya nne?
Mujuni2