Taifa Stars Yawakong'oli Waganda!

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740
_44563224_tanzaniasquad203.jpg
starscranes.jpg


Wadau wa soka week-end yenu itakuwa ya furaha/
Tanzania defeat Uganda in CHAN
Tanzania boosted their chances of reaching the final qualifying round of African Nations Championship thanks to their 2-0 win over Uganda on Saturday.

Goals from Emmanuel Gabriel and Shaaban Nditi in the first round, first leg game in Mwanza sealed secured the victory for the home side.

Gabriel opened the scoring for the Taifa Stars on 12 minutes when he fired home a cross from Mrisho Ngasa.

Tanzania doubled their lead on the hour mark through Nditi, who toe-poked the ball into the net after a goal-mouth scramble.

The Cranes had their fair share in chances but the home goalkeeper kept them at bay with some good saves.

The two sides will meet in the second leg in two weeks' time and the winner of the tie will qualify for the ultimate round.

BBS SPORT
 
Hongera starz.ila sasa akina makamba,jk,na nchimbi wasiibuke na kudandia tena wadai ni sera zao nzuri.

Sana sana nilifurahi walipoichaopa Kenya na kuifukuzia mbali nje ya mashindano
 
Kwa mujibu wa bbc swahili, matokeo ni suluhu ya moja moja, hivyo Uganda tumewatoa kwa jumla ya magoli 3 - 1.
 
Hongera kwa wachezaji wetu na Watanzania wote, tunaomba kocha aandae timu vizuri zaidi kwani mechi inayofuata tunakutana na Sudan. Tunakumbuka Sudan ilitutoa kwenye kombe la Kagame. Hivyo tunatakiwa kujisahihisha ili tuibuke na ushindi.
 
Kutoka kwa Muhidini wa Michuzi

BREKING NYUUUUUZZZZZZZZZ
TAIFA STAAAZ IMEFANIKIWA KUVUKA KIGINNGI CHA KUSAKA TIKETI YA KUSHIRIKI FAINALI ZA KWANZA ZA MATAIFA YA AFRIKA KWA WACHEZAJI WANAOCHEZA LIGI ZA NYUMBANI MAARUFU KAMA CHAN BAADA YA KUILAZIMISHA SARE YA 1-1 TIMU YA UGANDA CRANES UWANJA WA NAKIVUBO HUKO UKWENI.
GOLI LA STAA LIMEPATIKANA DAKIKA YA 44 MFUNGAJI AKIWA ATHUMANI IDDI 'CHUJI'
HII NDO KUSEMA STAAZ INAPETA KWA MABAO 3-1 BAADA YA USHINDI WA 1-0 ILIYOPATA IKIWA NYUMBANI WIKI MBILI ZILIZOPITA. SASA TUNAMNGOJA MSHINDI KATI YA SUDAN NA RWANDA AMBAPO TUKIMSHINDA TUNAINGIA FAINALI YA KOMBE HILO ZITAZOFANYIKA IVORY COAST MAPEMA MWAKANI.
 
Hongereni Staaz!! Sasa tujipange kuwakong'ota waSudani..... Nina amini tukijipanga hawa waSudan tutawapiga bao miiingi tuu!!!!

Mungu wabariki vijana wa Staaz, Mungu Ibariki Soka ya Tanzania, Mungu Ibariki Tanzania na watu wake!!!
 
Congratulation TAIFA STARS
But bado tuna mechi na SUDAN hawa CAF hawatupendi
kazi tulioifanya itaonekana bure kama hatutawatoa SUDAN
 
mi hao jamaa ningewaona wa maana kama wangewafunga msumbuji...
kwa kosa lile siwezi kuwasamehe hasilani.
 
Hongereni Staaz!! Sasa tujipange kuwakong'ota waSudani..... Nina amini tukijipanga hawa waSudan tutawapiga bao miiingi tuu!!!!

Mungu wabariki vijana wa Staaz, Mungu Ibariki Soka ya Tanzania, Mungu Ibariki Tanzania na watu wake!!!

usimsahau jk kwa kutuletea mwalimu
 
hongera JK boys

Acha kujishushia hadhi wewe, utasemaje hao ni vijana wa JK? inamaana sio vijana wa watz wote? acheni kumpa masifa yasiyo na maana huyo JK. Hao ni vijana wetu sisi wote watz, na msiwapachike jina la JK, msije mkatufanya tusiwashangilie ashangilie huyohuyo JK peke yake. period.

otherwise, NAWAPA HONGERA SANA Taifa stars, watoto watz kwa kutupa furaha ya moyo baada ya kuwafuga the cranes. bora wametupoza moyo kidogo, sio tu kila wakati tunakuwa na machungu ya ufisadi mioyoni mwetu. by the way, waganda na wakenya wamekuwa wateja wetu mda wote. hata wakijitahidi kutapatapa tunawafungaga tu. chao.
 
duh wenye kuumiA na waumie lkn ndio hivyo JK boys kwa maana yeye amesaidia sana kuisapport timu yetu ya taifa na sasa yeye ndio key ya taifa letu hata huku nje baadhi ya wakati tunataniana watoto wa JK na wa kenya tunawaita watoto wa Kibaki waganda watoto wa Museveni

chuki na wivu tu
 
hahaha, ungejua huyo JK unaemsifia ameajiriwa na wananchi wa Tz, kuanzia mkulima hadi mfanya kazi, usingesema vijana wa JK. Hao ni vijana na watoto wa watz. Usiwe unampa masifa Raisi awaye yote yule kama vile yeye ni mfalme mteule. Kwa miaka ya siku hizi za uelewa, Rais wetu ni Muajiriwa tu ambaye sisi tumemwamini na kumkabidhi majukumu makubwa ya kuongoza nchi. Ndo maana lazima anatakiwa kuwa accountable kwa wananchi wake. bila wananchi huyo JK angepata wapi kibarua?hujui kama kodi zetu ndo zinazomfanya aishi?Kodi anayokatwa hadi mtoto wako kwa VAT akinunua pipi...., ndo inayomfanya yeye apande ndege na kutuwakilisha kufanya yale majukumu ya juu. kuna siku kibarua kitaisha. Kwahiyo, watu wenye Rungu la kupata sifa za nchi yetu, sio mwajiriwa, ni Mwajiri ambae ndo sisi watz wote. Tunatakiwa kuwa proud wote kwa pamoja, sio kumpa sifa mtu mmoja kwavile tu yeye ni rais. Kama uongo, we subiri kinyang'anyiro kijacho, utakavyoona anavyojikomba kwa wananachi ili tumwajiri kwa miaka mingine mitano. hapo ndo utajua kuwa WANANCHI NDO WASHIKA RUNGU. na wananchi ndo wamiliki wa vitu vyote.

Hongera sana Taifa stars. lakini nawapeni pole, nasikia mmepata shida sana kule uganda, viongozi wa FUFA hawajawatendeeni vyema kama sisi tulivyowafanyia wao hapa. pia, nasikia kuna mashabiki wetu wengine waliumia, na mwanafunzi mmoja wa Kampala mtz. poleni na viongozi pia. Mi nilifikiri Mpira huu kwa waganda ndo ungeonyesha namna gani wao ni watu wanaowajali watz, ili kupromote Huo muungano wanaoulilia. sasa kama hata kukiwa na muungano, MBONA KUTAKUWA NA UUGANDA, UTANZANIA, NA UKENYA, UBURUNDI, NA URWANDA. tusije tukaishia kusuluhisha matatizo kama ya Pemba. Esalaleee...hahaha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom