Mad Max JF-Expert Member Oct 21, 2010 19,032 49,637 Nov 5, 2021 #21 Wanawadekeza sana hao wachezaji. Wanakula kodi zetu kifalafala sana.
mtzmweusi JF-Expert Member Apr 20, 2013 8,594 8,877 Nov 5, 2021 #22 Hata wakichanga trilioni 1 hawaendi popote
Kitimoto JF-Expert Member Aug 25, 2012 4,980 4,626 Nov 5, 2021 #23 Ni ndoto kwa Taifa Stars kwenda Kombe la Dunia 2022 ambapo ni sawa na Wapinzani kuchukua nchi mwaka 2025! Hizo pesa zitoke TFF sababu wanazo.
Ni ndoto kwa Taifa Stars kwenda Kombe la Dunia 2022 ambapo ni sawa na Wapinzani kuchukua nchi mwaka 2025! Hizo pesa zitoke TFF sababu wanazo.