Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,811
- 4,533
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akizungumza kuelekea mchezo wa kufuzu CHAN dhidi ya Somalia utakaochezwa kesho Jumamosi Julai 23 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Polsen ameshangazwa na kitendo cha timu ya Taifa ambayo inajiandaa na mechi ya CHAN kunyimwa uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya mazoezi angalau ya session moja.
“Maandalizi ni muhimu sana, inashangaza wakati tunajiandaa kuwakilisha nchi kwenye CHAN tunanyimwa nafasi ya kufanya mazoezi ya mwisho kwenye dimba la Mkapa, kama uwanja haupo kwenye hali nzuri sasa inakuwaje timu kutoka Ulaya wamepewa nafasi ya kufanya mazoezi hapo!?”
- Kim Poulsen, Kocha wa timu ya taifa
Stars wameambiwa haiwezekani kufanya mazoezi hapo lakini uwanja unatumika kwa ajili ya mechi za Vijana na wengine wanafanyia mpaka mazoezi
Polsen ameshangazwa na kitendo cha timu ya Taifa ambayo inajiandaa na mechi ya CHAN kunyimwa uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya mazoezi angalau ya session moja.
“Maandalizi ni muhimu sana, inashangaza wakati tunajiandaa kuwakilisha nchi kwenye CHAN tunanyimwa nafasi ya kufanya mazoezi ya mwisho kwenye dimba la Mkapa, kama uwanja haupo kwenye hali nzuri sasa inakuwaje timu kutoka Ulaya wamepewa nafasi ya kufanya mazoezi hapo!?”
- Kim Poulsen, Kocha wa timu ya taifa
Stars wameambiwa haiwezekani kufanya mazoezi hapo lakini uwanja unatumika kwa ajili ya mechi za Vijana na wengine wanafanyia mpaka mazoezi