wazee wa kitonga tunakutegemea kutuletea updatesMpaka sasa 0-0 Sudan wako vizuri sana, japo we can possibly win
Goli lenyewe la ugoko!FT:
Tanzania 0:0 Sudan
Mechi tatu goli moja tu.
Uzalendo umeshuka Sana yaani hakuna mtu wa kuleta matokeo...hata mod hawajauona huu Uzi,wangenirekebishia Uzi wangu
Tumefuzu nusu fainali.Naogopa hata kuuliza ngapingapi huko,
ila ngoja nijitutumue,
"JAMANI TAIFA STARS NGAPI NGAPI HUKO WADAU ?"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mkuu timu yenyewe ya sasa inayocheza CECAFA ulishakaa na kuangalia inafanya nini ikiwa Uwanjani?Uzalendo umeshuka Sana yaani hakuna mtu wa kuleta matokeo...hata mod hawajauona huu Uzi,wangenirekebishia Uzi wangu
Tumefuzu nusu fainali.
Tumefuzu nusu fainali.