Taifa Stars vs Tunisia: Haikuwa game ya Boko wala Farid

Nado na Farid' wote wazembe kwenye kufanya maamuzi kwenye box' pia hata pasi zao wanachelewesha sana' yaani wanapenda kumiliki mpira muda mrefu kitu kinacho fanya wanapoteza mpira mara nyingi

nazani angeanza ditram nchimbi huyu jamaa ni mzuri kwenye mashambulizi.., killer pass, na kudefense..
Hata viungo wetu walikuwa wanapiga pasi za ovyo halafu wanachelewa kupiga padi mpira ukienda mbele hamna watu
 
Hata viungo wetu walikuwa wanapiga pasi za ovyo halafu wanachelewa kupiga padi mpira ukienda mbele hamna watu
Hahahaa tusiwalaumu wachezaji mkuu! haujui kocha mpaka sasa hana kikosi? anafanya team rotation kila mechi.!! anabadili position za wachazeji hovyo kabisa ndo maana stars walipagawa.! mkude alikua haeleweki ni kiungo au! mwamnyeto na nyoni wakajikuta wanakua viungo wakabaji..! nyuma wakamwacha manula pekee yake.. yaani tungecheza na timu kama nigeria tungepata aibu ya mwaka..

Nb. hawa makocha tunaokoteza tu..! tujifunze hata kwa kenya,,uganda,burundi
 
Waarabu sio level yetu, tena jana hawakuamua tu walituonea huruma. Yangekua maAlgeria yasingetuhurumia kwakweli, yangetupiga 10 mamaee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom