rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,190
- 20,156
Hata viungo wetu walikuwa wanapiga pasi za ovyo halafu wanachelewa kupiga padi mpira ukienda mbele hamna watuNado na Farid' wote wazembe kwenye kufanya maamuzi kwenye box' pia hata pasi zao wanachelewesha sana' yaani wanapenda kumiliki mpira muda mrefu kitu kinacho fanya wanapoteza mpira mara nyingi
nazani angeanza ditram nchimbi huyu jamaa ni mzuri kwenye mashambulizi.., killer pass, na kudefense..