Taifa stars tupeni raha watanzania Leo.....

kisiki kizito

JF-Expert Member
Jul 3, 2015
676
857
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
 
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
Umekosa Sehemu Za Kutafutia Raha Mkuu? Hapo Utaambulia Majuto
 
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya tunaomba msituangushe na Sisi tupo nyumaa yenu kuwapa support kubwa.......
Mechi Hiyoo itapigwa majira YA saa 2:00 Usiku.... Mashabiki tunaomba tujitokezee kuishangilia timu yetu


TAIFA STARS AFCON 2019 INAWEZEKANA.......
tupe mrejesho mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom