Taifa stars na misri

TBC hovyo sana hawana ubunifu kabisa badala ya kuonyesha vipindi na maudhui yanayopendwa na wengi wao wamenga'ang'ania kuonesha kipindi cha TUNATEKELEZA.

Kwa msingi huu wataendelea kulipwa kodi za wananchi miaka yao yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom