Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu nimeona Katika gazeti la Mwanasport toleo la leo, Jumamosi, September 3, 2022.
.
Kupitia safu inaitwa Mpapaso ya Mwandishi Masau Bwire ametoa sababu Kuu mbili za timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars kutokufikia mafanikio makubwa
.
Mwandishi kwenye makala yake anadai KwaMba Usimba na Uyanga ndio kikwazo kikubwa.
.
Je hizi ndio sababuu Kuu za Taifa Stars kutokufanya Vzr?
Ahsante.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
.
Kupitia safu inaitwa Mpapaso ya Mwandishi Masau Bwire ametoa sababu Kuu mbili za timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars kutokufikia mafanikio makubwa
.
Mwandishi kwenye makala yake anadai KwaMba Usimba na Uyanga ndio kikwazo kikubwa.
.
Je hizi ndio sababuu Kuu za Taifa Stars kutokufanya Vzr?
Ahsante.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app