samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Inasemekana timu ya taifa ya tanzania haijawahi kuibuka na ushindi ikiwa inashuhudiwa na rais kikwete kama mtazamaji au mgeni rasmi na kwamba mara zote hizo imekua ikiambulia kichapo au sare. Naomba mwenye kumbukumbu sahihi anijuze.