Lema aliwahi kumwambia huyo unayemtegemea si Mungu. Ipo siku hatakuwepo na utakosa mtetezi. Sabaya akacheka kwa dharau. Leo yametimia yale aliyosema Lema miaka mitatu iliyopita.
 
Mama mwenye nyumba anashikwa masikio mitandaoni kwa masilahi ya kundi fulani. Wakati anaingia alitaka kubalance viongozi wake kwa uwiano sawa kati ya wavaa vibarakashia na wale wa misaraba. Hili swala liliwashitua sana wavaa misaraba kwan ni kitu ambacho hawakukitarajia wala kukizoea. Wakaingia mitandaoni na baada ya hapo mama akarudi kule kule kwa wenye misaraba 10 au 15 huku vibarakashia wakiwa 1 au 2 ktk teuzi zake. Sasa hivi kuna kundi lingine ambalo linapigania masilahi na uhai wa chama chao mitandaoni, mama mwenye nyumba ameonekana kuwaelewa na kufanya yale wanayoyataka. Yetu macho wengine tunachangia tu lkn hatuna cha kupoteza.
Na kweli, hamna cha kupoteza! Mmeshpoteza yesu wenu wa lugola, mtapoteza nini tena, labda maisha yenu tu sasa!!
 
Ushahidi sio wa kutafuta, ni kwakuwa huyo mama anatumia tabia ya ccm ya kufichiana uovu. Lakini huyo mama akikubali ushahidi uwekwe wazi, anafungwa hata wiki ijayo. Huyo dogo mpaka bomu la soweto kwenye mkutano wa Cdm huko Arusha anajua taarifa zake. Huyo dogo ni muovu kama yule dhalimu unayelinda hilo kaburi lake.
Unataka kufufua mambo? Bomu la Soweto linamhusu? Dk Mollel alisemaje?

Mimi sitetei mtu, kama ana makosa na ushahidi upo wazi kwa nini asitumbuliwe?
 
Tatizo nililoliona kwenu nyinyi pingapinga kwanza hamjui kujenga hoja, mna MIHEMKO Sana.
Kumbukeni Raisi kabla hajaingia uraisi alikua makamu wa Raisi. Anaifahamu hii nchi na visa vyake vyote. Na SASA kwa MIPANGO ya Mungu yeye ndo Raisi. Ana uzoefu wa uongozi wa kutosha, Tena uliotukuka.
Eleweni uraisi ni taasis. Na mama hajakurupuka kabisaaa. Ndo maana kajipa muda halafu akamsimamisha kupisha uchunguzi. Na huo ndo utaratibu. Nyinyi mlitaka mtu Ana malalamiko chungu nzima mpaka kapiga kada wa chama chake mwenyewe, achunguzwe akiwa ofisini??
Nyinyi ni wakurupukaji. Mwacheni mama yetu atuongoze, na ninaamini atatenda haki. NAYAZUNGUMZA HAYA nikiwa CCM pure, kindakindaki. Maana mnazusha eti Wana ccm hawapendi maamuzi ya mama, eti wamekasirika. Sisi tunaokitakia chama mema tupo bega kwa bega na mwenyekiti wetu na Amiri jeshi mkuu naa Raisi wetu her excellence hon. Samia Suluhu Hassan.
Kama anajua makosa yake alitakiwa amtumbue.
 
Kama anajua makosa yake alitakiwa amtumbue.
Huu ujinga wa neno "mtumbue" tulishauzika, na hatujawahi kulisikia hili neno tokea tupate uhuru, until tulivyoingizwa chaka na kuwapa nchi washamba
Na sasa hili neno "mtumbue" muda wake umeisha na hautalisikia tena......
Sasa nchi inaendeshwa kiuweledi, kama una makosa unasimamishwa kazi na hapo ndio ujue imetoka hiyo..........
 
Muache mama afanye kazi kwa busara mamiradi ya kijinga ayapige chini maana alopita alijali jengajenga tuu hasa kanda yake. Mama yuko vizuri hatuna wasiwasi
 
Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake
Kuweni wastahamilifu ndugu zangu. Mbona mwenda zake pamoja faulo zote alizocheza mlikaa kimyaaaaaa kama maji mtungini. Mbona mnataka kumhukumu mama kwa miezi miwili tu? Tumpeni mama muda ajipange na apange safu yake.
 
Tunaelekekea huko huko utopolo potelea karibu, tuliandikiwa tuwepo huko alfa na omega.
Kazi inaendelea 🕺👍
 
Wachawi huwa hawapendi maendeleo, mmeshaanza kumzodoa na kumtafuta makosa Mama yetu
 
Unataka kufufua mambo? Bomu la Soweto linamhusu? Dk Mollel alisemaje?

Mimi sitetei mtu, kama ana makosa na ushahidi upo wazi kwa nini asitumbuliwe?

Dr. Mollel si angepeleka huo ushahidi maana yuko ccm na hizo mahakama zinaitii ccm? Kwa sasa ccm ikiendelea kuwa madaraka huo ukweli hautakaa ufahamike maana kuna kulindana, ila iko siku.
 
Dr. Mollel si angepeleka huo ushahidi maana yuko ccm na hizo mahakama zinaitii ccm? Kwa sasa ccm ikiendelea kuwa madaraka huo ukweli hautakaa ufahamike maana kuna kulindana, ila iko siku.
Jibu unalo, kaa kimya usigusie mabomu ya Arusha.
 
wiki iliopita kulikuwa na mjadala wa rais kugawa benz ya mil 450 kwa rais Mwinyi na baada ya mda mfupi akaja kugawa nyumba kwa JK. Mjadala ulikuwa mkubwa sana na watu kuhoji kwanini hela za walipa kodi maskini ambao hata kula yao kwa siku ni shida zitumike vibaya. kwa maana wapewe tena matajiri ambao washashiba. SSH akaamua kumtumbua sabaya ili kuupoza kama si kuuzima kabisa moto huu. na walipa kodi tukahama na kufurahi kusimamishwa kwa sabaya. watz inabidi tubadilike, tufocus zaidi kwenye maslahi mapana ya nchi na si mambo madogo madogo ya kimbeq mbea.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Lini ccm ilitegemea kura yako? Hata mnaemuabudu hakutegemea kura zenu.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom