DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Maneno haya niliyakuta kwenye moja ya majibu ya utetezi wa Ben Sanane humu JF kwenye thread moja ambayo ghafla nisivyotarajia thread ile ilifutwa na sikuona mabaki yake na sijui imepoteaje nimejaribu sana kuitafuta na kufikili ya kuwa uenda imebadilishwa kutoka jukwaa moja kwenda jingine lakini sikupata majibu.Nimeumizwa sana kwa kufutwa kwa thread ile kwakuwa ilikuwa na mchango mzuri sana wanajF na historia kuhifadhi kumbukumbu nzuri kwa vizazi, kama vile bunge linavyohifadhi hansard za maswali na majibu na miswada ndani ya Bunge .
Nilivutika na maneno ambayo Ben Sanane alijitetea kuwa zimefika nyakati kuwa Taifa linaitaji vijana watakaongoza kama CORPORATE ENTITY.
Niyapenda maneno haya mawili CORPORATE ENTITY ikabidi niingine kwenye kamusi ya kiingereza na kamusi ya kiingereza vs Kiswahili,nilipata tafsiri ambyo mimi binafsi nilielewa kama ifuatavyo
Maana na tafsiri ya Neno Corporate Entity :
Corporate means relating to business corporations or to a particular business corporation. (BUSINESS)
An Entity is something that exists separately from other things and has a clear identity of its own. (FORMAL)
Naomba kushare na wanaJF uenda nikasaidiwa ufafanuzi juu ya maneno haya kusema kuwa Taifa liundwe na vijana kama corportae entity, maana yake nini? Is this the business issues as usual? and who is the financier of the vision and mission? What are the Obejectives and Goals? Achievemnt and success of the so related Corporate entity?
Manake mimi navyofahamu chama cha siasa dhumuni lake ni muungano wa watu wenye kusudio la kuomba dhamana ya umma ili kupewa nguvu au madaraka [mandate] ya kutawala.Ambayo tunaweza kusema ni kuomba dhamana ya kusimamia maendeleo na ustawishaji huduma za umma.
Manake kwa style hii ya vision and mission binafsi napata picha tofauti sana ila kupitia wanajf uenda nikapata mengi zaidi na kujifunza siasa za ujana hasa ndani ya CDM manake siasa za vijana wa Tanzania zaweza kuwa ndio bora za kuwapa maziwa na asali watanzania tukajikuta wakati wengine tunasukumwa kuangalia uwezo na ufanisi wa Mwanasiasa wengine wanasukumwa na ujana wa mwanasiasa.
Nawasilisha.
Nilivutika na maneno ambayo Ben Sanane alijitetea kuwa zimefika nyakati kuwa Taifa linaitaji vijana watakaongoza kama CORPORATE ENTITY.
Niyapenda maneno haya mawili CORPORATE ENTITY ikabidi niingine kwenye kamusi ya kiingereza na kamusi ya kiingereza vs Kiswahili,nilipata tafsiri ambyo mimi binafsi nilielewa kama ifuatavyo
Maana na tafsiri ya Neno Corporate Entity :
Corporate means relating to business corporations or to a particular business corporation. (BUSINESS)
An Entity is something that exists separately from other things and has a clear identity of its own. (FORMAL)
Naomba kushare na wanaJF uenda nikasaidiwa ufafanuzi juu ya maneno haya kusema kuwa Taifa liundwe na vijana kama corportae entity, maana yake nini? Is this the business issues as usual? and who is the financier of the vision and mission? What are the Obejectives and Goals? Achievemnt and success of the so related Corporate entity?
Manake mimi navyofahamu chama cha siasa dhumuni lake ni muungano wa watu wenye kusudio la kuomba dhamana ya umma ili kupewa nguvu au madaraka [mandate] ya kutawala.Ambayo tunaweza kusema ni kuomba dhamana ya kusimamia maendeleo na ustawishaji huduma za umma.
Manake kwa style hii ya vision and mission binafsi napata picha tofauti sana ila kupitia wanajf uenda nikapata mengi zaidi na kujifunza siasa za ujana hasa ndani ya CDM manake siasa za vijana wa Tanzania zaweza kuwa ndio bora za kuwapa maziwa na asali watanzania tukajikuta wakati wengine tunasukumwa kuangalia uwezo na ufanisi wa Mwanasiasa wengine wanasukumwa na ujana wa mwanasiasa.
Nawasilisha.