Tanzania ni nchi iliyoanzisha mfumo wa kusamehe baadhi ya kodi wanazotozwa wanajeshi wa jeshi la Tanzania, kupitia msamaha huu wa kodi maduka na kampuni zinazotoa huduma ya bidhaa katika maduka ya jeshi yanaonyesha kila siku takribani msamaha wa kodi ukitolewa na TRA wa bidhaa mbali mbali zinazofikia shs bil 2 lakini katika mauzo yao ni bidhaa za thamani ya bil 1 ndio zinaonyeshwa zimeuzwa katika maduka haya ya jeshi.
maesabu(kwa mwaka yani siku 360) kwa kodi ya VAT
punguzo wanaloomba TRA
360*bil 2 *18%=bil 129.6
punguza halisi linalotakiwa
360*bil1*18%=bil 64.8
Faida wanayoipata kwa kukwepa kodi
bil 129.6-bil 64.8=bil 64.8
maesabu(kwa mwaka yani siku 360) kwa kodi ya VAT
punguzo wanaloomba TRA
360*bil 2 *18%=bil 129.6
punguza halisi linalotakiwa
360*bil1*18%=bil 64.8
Faida wanayoipata kwa kukwepa kodi
bil 129.6-bil 64.8=bil 64.8