silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Ninasema hivyo, kwa sababu hivi sasa watu wachache wenye nguvu ya fedha wanaamua mustakabali wa viongozi kwa maslahi yao binafsi,
Rais aliyechaguliwa kwa uovu, kamwe hawezi kutenda haki na badala yake atacheza muziki mmoja na mafisadi.
Sasa tusubiri kutumikishwa kama Punda,,, kwasababu Segerea uovu mtupu Mpendazoe kashinda wamtangaza mahanga,, Wakati Alikamatwa na mabox ya kura kibao akiyapeleka ili wachakachue,, Takukuru wakamuacha aendelee na uchaguzi, na tume pia bila aibu imemtangaza..
Sisi watumwa tu, inabidi tukubali utumwaaaaaa
Watanzaia watumwa oooyeeeee
Rais aliyechaguliwa kwa uovu, kamwe hawezi kutenda haki na badala yake atacheza muziki mmoja na mafisadi.
Sasa tusubiri kutumikishwa kama Punda,,, kwasababu Segerea uovu mtupu Mpendazoe kashinda wamtangaza mahanga,, Wakati Alikamatwa na mabox ya kura kibao akiyapeleka ili wachakachue,, Takukuru wakamuacha aendelee na uchaguzi, na tume pia bila aibu imemtangaza..
Sisi watumwa tu, inabidi tukubali utumwaaaaaa
Watanzaia watumwa oooyeeeee