Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
baba yako na mama yako wamekaa mahali wanajiona wana mtoto

kumbe takataka inakaa kufuatilia na kuandika ndoa za watu na kulazimisha eti ndoa ya taifa

ndugu, mimj siwajui hao watu!!!!!!!!!!!!!!!!! trust me wengi hawawajui, usilazimishe kusema ndoa ya taifa
 
Safi sana,watu wamefanikiwa ndo wanaingia ndoani.

Sio wajinga wengine hata ktanda hawana wanaforce watengenezewe harusi kubwa.
 
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani

Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya

Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Naomba connection
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Wewe ndiyo Gilsant unajitangaza kiaina au imekaaje hapa?
 
baba yako na mama yako wamekaa mahali wanajiona wana mtoto

kumbe takataka inakaa kufuatilia na kuandika ndoa za watu na kulazimisha eti ndoa ya taifa

ndugu, mimj siwajui hao watu!!!!!!!!!!!!!!!!! trust me wengi hawawajui, usilazimishe kusema ndoa ya taifa
Kaka /dada/ mkuu Ngoja nikufundishe kitu kimoja kwa niaba ya wana JF wote

Nchini humu katika uwanda wa biashara kuna biashara za aina mbili

B2C na B2B

Wanaofanya biashara za B2C ndio wanajulikana sana sababu wana ingage sana na wateja na matajiri wengi unaowajua wewe ni B2C kina Fredy vunja bei, Michael ngeleku, Aboud hao wengi hufanya biashara za B2C

Ila sasa hao wanaofanya biashara ya B2C kuna watu hufanya nao B2B

Na kwenye B2B ndio hujuana na watu wengi ambao in one way or another itakuwa ni connection na watu

Na kuna matajiri wanapiga hela sana kwa B2B na B2G

Mfano Lugumi anapiga sana hela na B2G na ni ukweli usiopingika kuwa mtu kama Lugumi anaweza kukupa connection ya maana sana ukatoboa hapa nchini kuliko wale wahindi wenye supermarket za shoppers ambao wao hufanya B2C

You get my point

Na kutomjua mtu wewe haizuii kuwa huyo mtu hajulikani sema it's not your cycle

Sasa kama mtu anajulikana na corporates na ceo round table yoote unasema humjui..sikuzuiii ila what you have to do is to take a note kumjua huenda ikawa msaada kwenye maisha yako
 
Back
Top Bottom