Nae eti ndio anampa promo bwana harusi ili apate vipapatio vya vyuku vingi kwa kazi ya kumpa pro bwana harusi, bwana harusi mwenyewe kwa kumuangalia tu unajua ni walewale wa kujisifu kwenye vigrosary vya kwa mpalange.Duh, mtu mwenyewe hata mta wapili hajulikani kutujazia server tu hapa!! Eti simamisha Taifa, kabana pua kabisa!!!😂😂😂😂Haya mpiga mzumari ukashibe vyema ubwabwa!!
Ss Taifa zima ndio litapata connection kwenu?.Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani
Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya
Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Tatizo uliowaleta kwenye uzi leo sio ma'celebrityHii ni celebrity forumn bro/sister kwani kuwa celeb ni lazima uwe umeweka alama kwenye taifa..?
Nenda na wewe kaolewe naye kama unamkubali sana huyo jamaa.Huna unachojua zaidi ya matusi..
Huyu atakua anaona wivu mwenzie kaolewa badala yakeAisee kwahiyo Mimi niliyeko hapa Kijiji Cha ibutu kata ya masoko wilaya ya rungwe mkoa wa mbeya nimesiamishwa na harusi nisiyoijua
Nimemuona na anabishana na wapakuaji eti anataka nyama ya kipajaMbona unaandika kama ndio upo kwenye foleni ya ubwabwa
Swali la kwanza umejibu. Swali la mada yenyewe, huyo mtu anayedai ni wa taifa ni nani na anafanya nini. Huwezi taja mtu kisa mnapeana lift ukadhani sote tunamjuaBrother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani
Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya
Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Picture Iko Wapi?Wanajulikana Twitter Republic tu...
Dada alijua kuboost nyonyo kwenye sendoff hehe