Kila mtu na nafasi yake sasa! Asa kama hajajulikana watu wasisemeLaiti ungejua uzito wa Gilsant usinge andika hivi. Ungepata nafasi ya kuhudhuria hii harusi ungemuelewa mleta uzi anamaanisha nini
Ndio maana nikasema laiti angekua anamjua asingedhihaki nini ambacho mleta uzi ameelezea.Kila mtu na nafasi yake sasa! Asa kama hajajulikana watu wasiseme
Ana kilo ngapi?Laiti ungejua uzito wa Gilsant usinge andika hivi. Ungepata nafasi ya kuhudhuria hii harusi ungemuelewa mleta uzi anamaanisha nini
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy
Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii
Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc
Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha
Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni
Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji
Gillsant mlaseko ni nani?
Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing
Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa
Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481
View attachment 1992503
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina ganiHata wewe mleta mada ulikuwa mwajiriwa wa Airtel? Basi ndio sababu huu ni mtandao mbovu, unaajiri watu kama wewe. Umeandika as if huyo bwana harusi aliwahi kujisaidia haja kubwa uwanja wa taifa kwahiyo watu wote tunamjua.
Umesema CEOs watakuwepo pale kwani ana hadhi gani na maajabu gani kwenye masoko. Tueleze
Kwa hiyo ndio wamfuate huyo SIJUI NANI awape connection?Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo
Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha
Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo
Ask JF founders they know Gillsant very well..
Usipanic relaxKwa hiyo ndio wamfuate huyo SIJUI NANI awape connection?
Jufunze kumuheshimu kila mtu, huyo NANI SIJUI umeulizwa ndio NANI, unaishia kusema eti mtu mzito, ana kilo ngapi?
Kuna watu wawili wote mainjinia, mmoja anakunja 2.5m huyu kasaidiwa na mlinzi kupata kazi tena wale wazee wanaolinda na virungu wa pili anakunja 3.5m na marupurupu kasaidiwa kupata kazi na dereva tu ambaye alikuwa ana muendesha Mzungu.
Acha kukalili.
Kitu pekee nilichoelewa ni kwamba yawezekana ukawa na una uwezo mkubwa sana wa kufanya marketing.Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani
Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya
Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Wewe ni mpuuzi, unalazimisha watu kumjua mtu ambae wewe unamuona muhimu?Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo
Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha
Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo
Nani kapanic .......... utuambie huyo SIJUI NANI ndio NANI?Usipanic relax
Haladu hivi ni kalili au kariri
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani
Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya
Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..