Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo

Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha

Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo
 
Who are they? I don’t know anything about them.

Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
 
Hata wewe mleta mada ulikuwa mwajiriwa wa Airtel? Basi ndio sababu huu ni mtandao mbovu, unaajiri watu kama wewe. Umeandika as if huyo bwana harusi aliwahi kujisaidia haja kubwa uwanja wa taifa kwahiyo watu wote tunamjua.

Umesema CEOs watakuwepo pale kwani ana hadhi gani na maajabu gani kwenye masoko. Tueleze
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani

Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya

Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
 
Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo

Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha

Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo
Kwa hiyo ndio wamfuate huyo SIJUI NANI awape connection?

Jufunze kumuheshimu kila mtu, huyo NANI SIJUI umeulizwa ndio NANI, unaishia kusema eti mtu mzito, ana kilo ngapi?

Kuna jamaa zangu wawili wote mainjinia, mmoja anakunja 2.5m huyu kasaidiwa na mlinzi kupata kazi tena wale wazee wanaolinda na virungu wa pili anakunja 3.5m na marupurupu kasaidiwa kupata kazi na dereva tu ambaye alikuwa ana muendesha Mzungu.

Acha kukalili.
 
Kwa hiyo ndio wamfuate huyo SIJUI NANI awape connection?

Jufunze kumuheshimu kila mtu, huyo NANI SIJUI umeulizwa ndio NANI, unaishia kusema eti mtu mzito, ana kilo ngapi?

Kuna watu wawili wote mainjinia, mmoja anakunja 2.5m huyu kasaidiwa na mlinzi kupata kazi tena wale wazee wanaolinda na virungu wa pili anakunja 3.5m na marupurupu kasaidiwa kupata kazi na dereva tu ambaye alikuwa ana muendesha Mzungu.

Acha kukalili.
Usipanic relax
Haladu hivi ni kalili au kariri
 
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani

Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya

Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
Kitu pekee nilichoelewa ni kwamba yawezekana ukawa na una uwezo mkubwa sana wa kufanya marketing.

Kuhusu hao watu wengi humu wamekiri kutokuwafahamu, sio kwasababu yoyote ile ni kwasababu circles zinatofautiana, Mtu mwingine circle yake ni ya wauza dhahabu wa geita na kahama, watu fulani hivi wana pesa chafu, mwingine circle yake ni ya wanasiasa tu, au Kwa mfano mimi ni bodaboda, circle inayonifaa ni ya wateja wangu na si hao maCEO.

Je kuna kitu cha ziada ulitaka kutuambia kuhusu wewe. Anyways tuwatakie ndoa na harusi njema.
 
Kila siku mnatafuta connection za kutoka bongo

Hii ni sababu bongo katika kutoka ni lazima uwe na connection kwa namna moja au nyingine...watu wengi wanaofanya cooprerate kuwajua ni rahisi sana kutoka kimaisha

Unaacha kuwajua watu kama kina Gilsant, unawajua kina irene Paul halafu unasema bongo mchongo haupati baki hivyo hivyo
Wewe ni mpuuzi, unalazimisha watu kumjua mtu ambae wewe unamuona muhimu?
Kama ni wa muhimu Sana basi nenda na wewe kaolewe nae
 
Ww maisha ushayatoboa tyr au unatoa connection huku ww unaliwa mbususu bila faida yoyote?
Brother yes nilikuwa mwajiriwa wa Airtel na kwa taarifa yako tulifanya project kubwa ambayo one of the competitor alikuja kufanya headhunt na mie nikawemo unaweza niona sina akili lakini waliokuja kufanya headhunt wanajua walikuja kuchukua vichwa vya aina gani

Naweza kuwa naandika utoporo lakini kwenye kazi yangu najua ninachofanya

Anyways haihusu sana nilichokifanya ni kujaribu kutoa codes za connection za kutoboa kimaisha tu kwa kuwa introduce one of the Guru katika vitu fulani fulani..
 
Back
Top Bottom