Taifa limesimama kwa muda kupisha ndoa ya taifa baina ya Gilsant Mlaseko na Mfanyabiashara mrembo Lucy

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha. Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni. Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480
Screenshot_20211030-204959_Twitter.jpg



View attachment 1992503
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481
Unali zungumzia taifa gani?
 
Leo twitter kuna ndoa ya taifa ni baina ya Guru wa mauzo mitandaoni Gillsant Mlaseko na mwanadada mjasiliamali bibie Lucy

Hii ni harusi ya kitaifa sababu kwa level ambazo Gilsant anazo ni wazi kuwa kutakuwa na ma top level CEOs na decision makers wa nchi hii

Ni harusi ambayo utawakuta watu wote ambao wapo kwenye CEOs roundtable namaanisha makampuni mbalimbami ya simu, banki, agencies mbalimbali etc

Ni harusi ambayo unatakiwa uandae business card za kutosha

Ni harusi ambayo ukiitumia vizuri unaweza ondoka na dili la mabilioni

Hata hivyo za ndani kabisa nasikia ni harusi ambayo inawindwa na wadangaji


Gillsant mlaseko ni nani?

Gilsant ni mkurugezi wa kampuni wa SwahiliDigital inayojihusisha na maswala ya digital marketing ambaye kabla ya hapo alifanya kazi kampuni mbalimbali kama kampuni ya simu Airtel kwenye kitengo cha marketing

Ni one of the Guru wa digital marketing nchi hii inayo kwa sasa



Hongera Gilsant my former colleague pale Airtel View attachment 1992480View attachment 1992481


View attachment 1992503
Dhuuu!!!aisee unakuwa kama umefika mjini Leo kula jambo kwako ni geni sasa huyo jamaa mbona hatujawai msikia alafu kwa kukusaidia hamna mwanamke mjasiliamali below 35 wengi ni coat la kuuza mbususu tu.
 
Back
Top Bottom