Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,168
Vyama vya upinzani vilivyopo ni maswahiba wa CCM na hawana nia thabiti ya kuiondoa CCM madarakani.
Wananchi wameichoka CCM na wanataka mabadiliko.
CCM ilishawadharau wananchi na kuwaona wajinga. Lakini wananchi walishabumburuka.
Hakuna seriousness wa kupata Katiba Mpya itayozaa Tume Huru ya Uchaguzi. Kuna ngonjera na maigizo tu.
Wananchi wameichoka CCM na wanataka mabadiliko.
CCM ilishawadharau wananchi na kuwaona wajinga. Lakini wananchi walishabumburuka.
Hakuna seriousness wa kupata Katiba Mpya itayozaa Tume Huru ya Uchaguzi. Kuna ngonjera na maigizo tu.