IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Taifa lenye watu wenye fikra pevu limejengwa katika utamaduni wa kuheshimu na kukubali ukosoaji wa aina yoyote ile, na si
usengenyaji.
Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza
madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere kupitia chapisho lake la Tujisahihishe.
CHADEMA kuikosoa serika wanaonekana ni wahalifu, wanaonwa ni magaidi, as if wao si watanzania,..Wito wangu kwa chama kinacho tawala, Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.
usengenyaji.
Kuyaona madhaifu ya mwenzako na kumweleza yeye mwenyewe ni kumkosoa, lakini kwenda kuyaeleza
madhaifu hayo kwa wengine ni kumsengenya alisema Nyerere kupitia chapisho lake la Tujisahihishe.
CHADEMA kuikosoa serika wanaonekana ni wahalifu, wanaonwa ni magaidi, as if wao si watanzania,..Wito wangu kwa chama kinacho tawala, Tukubali kukosolewa ili tujirekebishe.