Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,281
kuna sehemu ndogo sana huenda najichanganya ama nachanganywa....haiingii akilini Nape M. N kusimama kidete na hata kufikia hatua ya kuwataja wakubwa wazi wazi kua walihusika/kuhusishwa moja kwa moja na ubadhirifu kwenye mradi wa Umoja wa vijana kipindi akiwa Youth,akasemwa sana kwamba ana gubu,hila na wakaenda mbali zaidi kwa kusema alitanguliza miguu badala ya kichwa...Naam Nape huyu huyu ni mwiba kwa wale waliomkandamiza juzi...kwa kukosa ufafanuzi huoni kwa mtu mwenye mawazo huru km mimi nitafikiria bwana Nape analipiza kisasi wakati sio sahihi na badala yake anasimamia kanuni?