jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
ccm inaishi na wapiga kura siku zote ikiwaibia rasilimali zao, sema inatafuta nafasi ya kuwaibia kwa mara nyengine.
Wezi wa ccm wamehamia Ukawa...
ccm inaishi na wapiga kura siku zote ikiwaibia rasilimali zao, sema inatafuta nafasi ya kuwaibia kwa mara nyengine.
Ni familia ya walimu tena ndani ya Ikulu Takatifu.Hivi ukiwafikia tu Wananchi tayari wanakupigia kura?..Nakubaliana nawe kuwa Magufuli ataapishwa Rais wa Wapiga push up,ila Rais wa JMT atakuwa Edward Ngoyai Lowassa.
duh 16 mil? ndo maana Tanesco imefilisika
Sasa ni dhahiri dk Magufuli atakuwa rais wa tz na hakuna wakumzuwia ila Mungu peke yake, ikiwa zimebakia siku chache wa tz wapige kura na kumchaguwa rais wao kumekuwa na maandalizi mazito kuanzia vyombo vya usalamana idara zote za usalama wa nchi kuhakikisha Amani na utuivu wakila mtanzania unakuwepo na hakuna vurugu itatokea. Ila ktk upande mwingine wa watanzania wengi na wapenzi wa chama cha mapiduzi wamejiandaa kuingia mabarabarabi kwa Amani kurusha fataki nakushangilia kwa ushindi wa kishindo DR Magufuli ameupata, inasemekana hata maelfu walio kuwa ukawa watakata kamba kuja ccm kushangilia ushindi wa dr Magufuli.
Watu wengi bado wana utomasona hawajajuwa ni kiasi gani Maguli anawatu wengi kiasi jiji la dsm halitotosha kupokea wageni tayari mahotel yameshawekwa resave kwa ajili yaujio wa viongozi wa dunia kuja muwapisha Magufuli.
Kuna kila dalili Magufuli ataapishwa na watu wengi sana kiasi uwenda resave vikosi vikatumika.
MUNGU AMPE MAISHA MAREFU
Cha ajabu ikianzishwa thread yenye maudhui haya haya, ila kwa upande wa LOWASSA, Moderators wanaifuta!
Hii ni kwa ajili tunasimamia haki na misingi yake!Tatizo la ukawa mnalalamikia kila taasisi...iwe NEC,POLISI,JWTZ,TWAWEZA, NA SASA JF
Siku hiyo utaanguka na kupata presha na JF utakimbia.Cha ajabu ikianzishwa thread yenye maudhui haya haya, ila kwa upande wa LOWASSA, Moderators wanaifuta!
Sasa ni dhahiri dk Magufuli atakuwa rais wa tz na hakuna wakumzuwia ila Mungu peke yake, ikiwa zimebakia siku chache wa tz wapige kura na kumchaguwa rais wao kumekuwa na maandalizi mazito kuanzia vyombo vya usalamana idara zote za usalama wa nchi kuhakikisha Amani na utuivu wakila mtanzania unakuwepo na hakuna vurugu itatokea. Ila ktk upande mwingine wa watanzania wengi na wapenzi wa chama cha mapiduzi wamejiandaa kuingia mabarabarabi kwa Amani kurusha fataki nakushangilia kwa ushindi wa kishindo DR Magufuli ameupata, inasemekana hata maelfu walio kuwa ukawa watakata kamba kuja ccm kushangilia ushindi wa dr Magufuli.
Watu wengi bado wana utomasona hawajajuwa ni kiasi gani Maguli anawatu wengi kiasi jiji la dsm halitotosha kupokea wageni tayari mahotel yameshawekwa resave kwa ajili yaujio wa viongozi wa dunia kuja muwapisha Magufuli.
Kuna kila dalili Magufuli ataapishwa na watu wengi sana kiasi uwenda resave vikosi vikatumika.
MUNGU AMPE MAISHA MAREFU
ccm inaishi na wapiga kura siku zote ikiwaibia rasilimali zao, sema inatafuta nafasi ya kuwaibia kwa mara nyengine.
Ni familia ya walimu tena ndani ya Ikulu Takatifu.
IKULU SIO PANGO LA WEZI NA MAFISADI
Tatizo la ukawa mnalalamikia kila taasisi...iwe NEC,POLISI,JWTZ,TWAWEZA, NA SASA JF
labda rais wa tff