Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
KANU ya kenya ilikuwa kubwa vilevile, USSR likuwa kubwa vilevile..sioni sababu yoyte ya kuogopa ukubwa wa CCM tatizo wapambanaji (wanaojiita) hawapambani ila wanafanya maigizo kwa sababu (interest) zao na za kikundi chao so hawana mshiko kwenye jamii iliyo pana na kubwa.
Itafika siku na iko karibu Wanamchi watashindwa kuvumilia na kwenda barabara kwa nguvu wakiongozwa na watu wenye kulnda kwa dhati maslahi yao kuliko hawa wanaojiita wapiganaji (wasanii)
Itafika siku na iko karibu Wanamchi watashindwa kuvumilia na kwenda barabara kwa nguvu wakiongozwa na watu wenye kulnda kwa dhati maslahi yao kuliko hawa wanaojiita wapiganaji (wasanii)