Taifa hili linahitaji kusameheana, kujenga umoja wa kitaifa pamoja na kusahau yote ya nyuma

Kwa nini msamaha wa maovu iwe ni kwa watumishi wa umma tu na sio watu wote walio mahabusu na magerezani?
 
Wasamehewe? How?
Warudishe mali za walipa kodi
Wahukumiwe kwa ukatili wao
Katiba mpya ndiyo suluhu
 
Wakati wanatufanyia unyama walijua sisi sio wa taifa hili wakajikuta wao ndio wenye stahiki zote za kumilika Tanzania zaidi ya wote.
 
Kule kwa dikteta Francisco Franco walifikia kwenda kulivamia makao ya milele ya 'shujaa' wafukue kaburi la mwendazake Francisco Franco .

N.B
Habari zaidi za historia za tawala za mkono wa chuma kandamizi :
24 Apr 2018
Madrid, Spain

Mihimili ya Bunge na Mahakama za afiki kuweka historia sahihi ya dikteta Jenerali Franco wa Uhispania

Diktekta Jenerali Francisco Franco alitawala taifa hilo la Hispania kwa staili ya utawala wa 'mkono wa chuma' kwa muda wa miaka 39 hadi alipofariki dunia kwa afya dhoofu mwaka 1975.

Katika kipindi chake cha utawala wa Jenerali Franco, watu wengi walipotea ktk mazingira ya utatanishi na wengineo maelfu kufungwa jela kutokana na kuwa na itikadi tofauti za kisiasa zilizokwaza utawala wake.

Diktekta Franco alikuwa na mahusiano ya karibu viongozi wa juu wa kanisa, maana kanisa lilikuwa na ushawishi ktk maisha ya raia na pia kuunga mkono utawala wa kifalme ktk Hispania.

Jenerali Franco katika vita (1936-1939) vya wenyewe kwa wenyewe Hispania iliyoisha mwaka 1939 hakutaka kuona nchi hiyo ikiishia kumeguka ktk majimbo ya Catalonia n.k Hivyo alitumia majeshi kuhakikisha nchi inabakia bila mgawanyiko. Ushindi wa majeshi ya Franco, ulishangiliwa na kubatizwa kuwa ni ushindi dhidi ya wapiganaji wasio na imani ktk uwepo wa Mungu, Ufalme , uzalendo na umoja wa taifa.

Vita hivyo vilisababisha maelfu ya vifo na Diktekta Franco kuja na wazo la Kujenga basilica / makumbusho maalum ktk mfano wa kanisa kuwaenzi waliopoteza maisha ktk vita hivyo vya wenyewe kwa wenyewe.

Katika wosia wake Dikteta Franco, aliomba kuzikwa ktk basilica hilo na wahanga wengine wa vita ili kujibainisha na wafu wengine waliopigania au kufa kutetea taifa hilo la Hispania lisigawanyike.

Hata hivyo miaka 43 baadaye toka kifo cha diktekta huyo, wananchi, mwanaharakati wa haki za binadamu na wanasiasa wameona kuwa ukatili uliofanyika na utawala wake haustahili kusahauliwa.

Hivyo kupitia Bunge na Mahakama wameona kuweka historia sahihi kuwa ktk utawala wa Franco kuna unyama na ukatili mwingi ulitendeka ktk utawala wake uliodumu miaka 39.

Kuhitimisha hilo, hoja ya kufukuliwa mwili wake imepitishwa Bungeni na kutiliwa uzito mahakamani kisheria kuwa Diktekta huyo hastahili kulala ktk makumbusho hayo kutokana na vitendo viovu vilivyofanyika ktk utawala wake wa kiimla.



Spanish court has for the first time authorised the exhumation of bodies from the Valley of the Fallen. It is a vast mausoleum where the fascist dictator General Franco is buried with thousands of victims of Spain’s 1936 civil war.

Aliyetunga wimbo wa taifa la Tanzania Mungu ambariki,Ona maneno yaliyopo kwenye Wimbo wa Taifa ulimlaani Magufuri ashindwe kumalizia utawala wake,kwa sababu nia yake ilikuwa atawale kama akina Franco wa SPAIN.
 
6 Jun 2021

MBATIA AMPA NENO RAIS SAMIA "ISIISHIE KWA SABAYA", SHERIA ZIANGALIWE


Waliokiuka haki za binadamu, si Lengai Ole Sabaya tu, wako wengi. Watu walikatwa masikio na ili kuondokana na haya, ifungue milango zaidi na kwa wengine waliohusika wachukulie hatua- James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi.

Source: MwanaHALISI TV
 
Watchdog Agencies

Critically monitoring the activities of governments, industry, courts or other organizations and alerting the public or taking legal action when the activities appear to go against the public interest.


Watchdog work is generally performed either by nonprofit organizations that monitor specific government or industry actions, or by special government officials known as “inspectors general” who are tasked with ensuring that the government operates in compliance with customary laws and policies and without waste, fraud, or theft of taxpayer money..

Day-to-Day Activities

  • Attorneys working with non-governmental organizations may:
    • file complaints with government agencies and legislative committees to bring issues to the public’s attention and force agencies and/or legislatures to conduct investigations;
    • submit Freedom of Information Act requests to government agencies requesting documents on a wide variety of issues;
    • pursue litigation as necessary to force government agencies, industry, or other organizations to fulfill their legal duties.
  • Attorneys working in Inspector General offices may:
    • investigate and address complaints concerning the agency’s actions;
    • conduct audits and evaluations of agency expenditures;
    • draft reports conveying to the agency the results of the office’s audits/investigations and recommending remedial procedures to be taken by the agency.
READ MORE :
Source : Watchdog | Harvard Law School
 
Find out all about South Africa’s Public Protector.

What is the Public Protector?​

Public Protector was set up in terms of Chapter 9 of South Africa’s Constitution to investigate complaints against state agencies or officials. It is one of six Chapter 9 institutions, identified in the Constitution as “state institutions supporting constitutional democracy”.

What are the functions of the Public Protector?​

According to Chapter 9 of the Constitution, the Public Protector has the power, as regulated by national legislation:

  • to investigate any conduct in state affairs, or in the public administration in any sphere of government, that is alleged or suspected to be improper or to result in any impropriety or prejudice
  • to report on that conduct
  • to take appropriate remedial action

What are the other Chapter 9 institutions?​

The five other state institutions supporting constitutional democracy are:

What does the Public Protector investigate?​

The Public Protector investigates alleged misconduct involving the state. This includes public officials at all levels, from central and provincial government to state departments, local authorities and state-owned enterprises.

Do other countries have a Public Protector?​

Countries across the world have offices similar to the Public Protector, institutions that investigate and provide a check on improper government activity, in the interest of the citizenry. These are variously called the “ombudsman” or “people’s defender”.

Is the Public Protector independent?​

Yes. According to the Constitution, the Public Protector and all other Chapter 9 institutions “are independent, and subject only to the Constitution and the law, and they must be impartial and must exercise their powers and perform their functions without fear, favour or prejudice”.

The Constitution goes on to say: “Other organs of state, through legislative and other measures, must assist and protect these institutions to ensure the independence, impartiality, dignity and effectiveness of these institutions. No person or organ of state may interfere with the functioning of these institutions.”

Who can complain to the Public Protector?​

Anyone can complain to the Public Protector. The Constitution says: “The Public Protector must be accessible to all persons and communities.”

How many complaints does the Public Protector receive?​

According to a parliamentary report released on 5 November 2013, the Public Protector received 37 770 complaints in the previous year — up more than 10 000 on the number of complaints registered in 2011-12. It takes from a couple hours to three months to resolve a single case, depending on its nature; the parliamentary report stated that 37% of cases were resolved in three months.

What happens after the Public Protector has investigated a complaint?​

The Public Protector has been described as a referee, tasked with looking at all sides of a problem. If the complaint is justified, a solution is put forward, which may include recommending changes to the system.

The Public Protector can also report a matter to Parliament, which will then debate the matter and see to it that the recommendations are followed.

Are the Public Protector’s reports always released to the public?​

According to the Constitution, “Any report issued by the Public Protector must be open to the public unless exceptional circumstances, to be determined in terms of national legislation, require that a report be kept confidential.”

Who appoints the Public Protector?​

The Public Protector is appointed by the president on the recommendation of the National Assembly in terms of the Constitution for a non-renewable period of seven years.

Who is South Africa’s Public Protector?​

Advocate Busisiwe Mkhwebane became South Africa’s fourth Public Protector in October 2016. She was appointed by President Jacob Zuma, after being recommended by a special parliamentary committee.

Mkhwebane is an advocate of the high court and a specialist in refugee and immigration law. She has held positions in the Department of Home Affairs and the South African embassy in the Republic of China. She previously also worked in the Office of the Public Protector as a senior investigator and an acting provincial director for Gauteng. Mkhwebane was also a senior researcher at the South African Human Rights Commission.

Mkhwebane replaced Advocate Thulisile Madonsela, who completed her term in October 2016. Madonsela replaced Advocate Lawrence Mushwana, who completed his seven-year term as Public Protector on 16 October 2009. South Africa’s first Public Protector, Advocate Selby Baqwa, served from 1995 to 2002.

What investigations and recommendations has the Public Protector made in the past?​

Some notable decisions by South Africa’s Public Protector include:

  • Bheki Cele was fired as South Africa’s police chief in 2011 after an inquiry into allegations of misconduct in relation to the procurement of office headquarters for the South African Police Service. The Public Protector’s report found that the lease agreements were unlawful, invalid and “fatally flawed”.
  • In 2006, the Public Protector cleared then Deputy President Phumzile Mlambo-Ngcuka after she used an air force plane to fly with her family and friends to the United Arab Emirates for a holiday. “It cannot be found that the deputy president acted improperly or that she failed to act in good faith,” the Public Protector said in a report at the time. “She was entitled, as anyone else in her similar position and status, to take her family, a friend and the children of her private secretary with her to the UAE and no one therefore benefited improperly from the trip.”
  • Following an investigation in 2004, 40 Members of Parliament from a number of different political parties were found to have illegally used parliamentary travel vouchers worth R18-million for their personal use.
  • Also in 2004, an investigation into claims that Ekurhuleni metro police chief Robert McBride was unsuitable for his post found that the appointment was proper, given that then national police commissioner Jackie Selebi had “waived the requirements that McBride had to be a member of the Metro police, and in respect of training”.
Reviewed 17 May 2016
Source: South Africa's Public Protector: frequently asked questions | Brand South Africa
 
31 August 2021
Dodoma, Tanzania

"Nitapigana na Gwajima, ameonyesha kiburi sana, hakutaka Samia awe Rais'' -Elibariki Kingu



Elibariki Kingu akaenda mbali kuwa kauli za Askofu Josephat Gwajima amedhamiria kuichonganisha serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na ingeweza kupelekea serikali kungolewa madarakani kwa tuhuma za kuwadhuru waTanzania kwa madai ya chanjo zenye 'madhara'.

Inaonekana mbunge Askofu Josephat Gwajima hajafurahi wala kukubali Mh. Samia Suluhu Hassan kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anahitimisha mchango wake mbunge Elibariki Kingu.

Source : Bongo Sihami
 
WaTanzania baada ya kujua kuhusu genge la watu wasiojulikana kuteka, kuwafanyia ukatili, kuwatupa na kuwabambikia kesi raia, nini mapendekezo yenu kama raia huru?
 

When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule​

Entrenched authoritarian systems are those where a leader or group has centralized power and resources in a manner that limits meaningful political and economic inclusion, instrumentalizes key State institutions, reduces democratic space and often allows a specific individual to remain in power well beyond typical constitutional limits.

This paper concerns the transitions out of entrenched authoritarian rule, the often volatile moments when new leadership comes into power. Some transitions take place peacefully, largely within constitutional order, but others may descend into civil unrest or even escalate into all-out civil war. In support the UN’s prevention mandate, this project is driven by the question, why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?

This project draws on scholarship around authoritarianism and neo-patrimonial States as well as original research by United Nations University Centre for Policy Research into entrenched political systems. It identifies four key factors that may influence whether a transition tends to result in violent conflict:

  1. past forms of rule (democratic or authoritarian);
  2. the way in which a political system transitions (e.g. through a coup, election, death, transfer of power or popular uprising);
  3. the fate of the individual leader, including questions of personal property and accountability for human rights abuses; and
  4. economic performance and the degree of inequality within a given society
Source: When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule - United Nations University Centre for Policy Research


19 October 2021
Kariakoo, Dar es Salaam
Tanzania

HALI YA UTULIVU YAREJEA WAKATI MKAKATI WA KUWAPANGA MACHINGA UKIENDELEA OCTOBER 2021


Source : Dizzim Online
 
19 October 2021
Manzese, Dar es Salaam
Tanzania

Zoezi la kuwapanga machinga eneo la Manzese Dar es Salaam laendelea vizuri




Source: Dizzim Online
 
Watu wamezushiwa kesi za uongo, akaunti zimefungwa, mabilioni yao yameibiwa, walioiba hawajakubali makosa.

Unataka wasamehe nini sasa wakati walioiba hawajakubali makosa?
Umenikumbusha nchi yenye watu wasiojulikana ambao hawatakiwi kujulikana
 
Back
Top Bottom