Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Kwa hapo kisasi kimeizidi akili, akili haitumiki kabisa. Wayahudi wameweka mitambo ya kugundua kwamba Kuna makombora yanakuja. Ving'ora hulia na watu wote hujificha. Makombora yakifika yataharibu miundo mbinu michache na kuuwa wachache wasiojikinga. Lakini hapo wayahudi wanapata sababu ya kushambulia maeneo ya wapalestina indiscriminately na bila huruma. Baya zaidi hakuna anayeweza kuinuka kwenda kuwapa msaada wapalestina kimapambano. Ni vikao viwili vitatu halafu maisha yanaendelea. Huku Palestinians wanapotezwa. Ushauri ni kuacha kuwachokoza wayahudi. Wapalestina watafute maisha mengine tu.
Wewe jamaa unaongea kitu gani!! Nani kamchokoza mwezie apo? Watu wamevamiwa kwenye ibada wewe unasema amechokozwa!!! Hata kama sio wa imani yako lakini jaribu kuwa mkweli.
Alafu unasema watafute maisha mengine, waendr wapi wakati ardhi ni yao. Israel ni wavamizi na hawapaswi kutetewa kwa hali yoyote ile. Endeleeni kuwatetea tu.