nyafuru
Member
- Mar 29, 2012
- 10
- 1
Waziri wa fedha amenukuliwa akidhibitisha kuwa taifa lina akiba ya kutosha ya dola za kimelekani kuweza kuendesha nchi kwa miezi mitatu swali ni je,kwa nini bajeti ya mwaka wa fedha 2011/2012/ haijatekelezwa hata theluthi moja?kwa nini miradi ya barabara imekwama na wahandisi wanaendelea kulipwa hela za adhabu ya kucheleweshwa hela zao?Je kama kweli nchi inahela za kutosha kwa nini deni la taifa lina kuwa na kila siku mfumuko wa bei unapanda kila kikicha?na je kwa nini watumishi wa serikali wamekuwa ndio tegemezi pekee la serikali kukusanya kodi.Kimsingi mawziri wetu hasa huyu mteule mpya awe wazi.CCM NCHI IMEWASHINDA WAISALIMISHE KWA CDM(NJOONI BAHI MAKAMANDA TUJENGE CHAMA WATU WAKO TAYARI KUKIPOKEA CHAMA.:hat: