Taifa changa

joramjason

JF-Expert Member
Jul 15, 2011
425
132
Jamani wana JF naomba ufafanuzi hii statment ya taifa changa toka tunapata uhuru now ni miaka 50 bado tuajiita taifa changa. Mi nadhani hili taifa ni mbilikimo tu but si changa tena or labda tuna viongozi wachanga. Nawasilisha
 
Hamna cha Taifa changa, Namibia/South Africa watasema nini tuwaite mimba inayoyarajiwa kuzaliwa ? hii nchi kwa kweli haina watu wazalendo kwa kifupi haina watu.Ukiwapa nchi hii hii Waswisi au wakorea baada ya miaka kumi unaweza kuishangaa kwa hatua iliyofikia tunaweza kuwa tunazikopesha nchi jirani na inabidi tukatae maombi mengine ya Visa kwa jinsi kila mtu anavyotaka kuja hapa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom