joramjason
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 425
- 132
Jamani wana JF naomba ufafanuzi hii statment ya taifa changa toka tunapata uhuru now ni miaka 50 bado tuajiita taifa changa. Mi nadhani hili taifa ni mbilikimo tu but si changa tena or labda tuna viongozi wachanga. Nawasilisha