Viongozi wa vyuo vikuu Tanzania,wanaoendelea na kikao Bugando Mwanza wamepewa amri ya kuondoka kutokana na hali ya kiusalama.
Agizo limetoka mkoan,hali si shwari,upo uwezekano uchaguzi usifanyike leo.
Mimi n vice presdent DIT,nipo katika kikao.
Ondokeni hapo nendeni mkasome, siasa hamuiwezi
TAHLISO ndio nini?
Mwenyekiti wake ni Chekushamire wa Mzumbe University. CCM pure!
Ni kweli inabidi waondoke tu kwa amani maana tofauti na hapo kitakachofuata ni serikali dhalimu ya CCM kuwarushia mabomu!!!Ondokeni hapo nendeni mkasome, siasa hamuiwezi