Haya tinayoyaona magazetini hayakuwepo huko nyuma.Na ukweli tunaomba kama ukiwa katibu ulishugulika vizuri sana
Na miradi ya mwendokasi
Leo kama waziri kabisa tunaomba msaada hawa watu wasaidiwe wasifike wakaanza kuhisi mengineyooo mbona huko nyuma.Walilipwa kama. Kawaida leo hii kuna nini
Tukumbuke hawa watu wana familia zinawategemea tusiwachukulie tu kirahisi wapendwa watoto wao wanahitaji kwenda chooni tena wapate chookigumu wanahitaji kulipiwa ada kama watoto wengine
Binafsi nimewiwa kukuomba mh waziri wangu shugulikia hili swala.Magazeti yaleo kila sehemu mbagala mbagala kama wizara haipendezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.