Mm nimefika chalinze kwa speed....Nme ona watu wana kimbia na mimi nka kimbia nakaribia mbezi saivi
Kuna mjeda kachukuliwa demuWagombanie Sasa looh
Wakafanyejea sasaEbu wajeshi wawahi hapo isije kuwa bombardia na airbus zetu zimechoka kupaki zinapaa zenyewe bila marubani.......!
Aletwe huku NgerengereKuna mjeda kachukuliwa demu
Aletwe huku Ngerengere
😂😂😂🏃🏃🏃🏃
mwambie dogo anyooshe maelezo sisi tupo Chato huku.
Yaaap. Emergency preparedness. Hapo utawakuta Kikosi cha zimamoto, ambulance, polisi, jeshi la wananchi nk.itakuwa ni yale majaribio ya tahadhari
Mkuu umekuwa hamorapa.Nme ona watu wana kimbia na mimi nka kimbia nakaribia mbezi saivi
Mazoezi ya utayari kutoka kikosi cha zimamotoNimeiona video kwa Milard Ayo, ila hata yeye hajafafanua nini kimejili,. Plz waliopo karibu watujuze
Ndio zimepaa zenyewe mpaka chato kwenda kushtaki kwa mwendazake.Ebu wajeshi wawahi hapo isije kuwa bombardia na airbus zetu zimechoka kupaki zinapaa zenyewe bila marubani.......!
Watz wengi ni wajinga sana ndio picha iliyopo hapaukisoma huu uzi, unaweza kukupa picha, kwa kiasi kikubwa, uwezo wa kufikiri wa sisi watz ulivyo.