kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
Jana nikiwa natoka job nilipita kwenye mchezo wa bao ili kama ilivyo kawaida yangu. Nilikuta story zimezagaa eti jopo la wapima tezi dume linapita nyumba kwa nyumba. Wanaume walikuwa wamehaha huku wakikwepa kurudi nyumbani mapema na kuahidi kudamka kukwepa hii kadhia. Ww Makonda naomba tuheshimiane. Na baridi yotee hii kidole tena kije huko ama watutakia nini??. Anzia wewe na jiwe mpimwe mjitangaze hadharani na kisha sisi tutafata.